matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Nimewahi kusikia Wachina wanamsemo unaitwa WEIZEI wakiamini kwamba katika kila janga/ tatizo/ taharuki kuna fursa.
Kwa mtazamo wangu taharuki dhahania inayotengenezwa kuhusu kuugua/ mahali alipo Mkuu wetu na kusingiziwa vifo kwa viongozi wa upinzani, nikiiangalia Kichina naona kuna fursa ndani yake.
Fursa: Mjadala wa uwepo wa Covid kama umekufa. Kujadili hii kitu ni kutifua hofu, na hofu ni nywila ya kifo. Kimsingi leo wapambe wa Covid ukiwashtukiza wanaweza kukunasa makofi kwa kuwa haipo ika wanataka tujadili uzushi Mpya.
Ninaomba matokeo ya dhahama na hizi zushi mbalimbali Iwe ni kufutika kabisa kwa hofu na changamoto ya upumuaji ili kila mtu arudi kwenye uzalishaji bila hofu.
Wataalam na wafuatiliaji wa mambo; je, ni kweli kwa taharuki zushi hii imetuondolea taharuki ya Changamoto ya kupumua nchini?
Kwa mtazamo wangu taharuki dhahania inayotengenezwa kuhusu kuugua/ mahali alipo Mkuu wetu na kusingiziwa vifo kwa viongozi wa upinzani, nikiiangalia Kichina naona kuna fursa ndani yake.
Fursa: Mjadala wa uwepo wa Covid kama umekufa. Kujadili hii kitu ni kutifua hofu, na hofu ni nywila ya kifo. Kimsingi leo wapambe wa Covid ukiwashtukiza wanaweza kukunasa makofi kwa kuwa haipo ika wanataka tujadili uzushi Mpya.
Ninaomba matokeo ya dhahama na hizi zushi mbalimbali Iwe ni kufutika kabisa kwa hofu na changamoto ya upumuaji ili kila mtu arudi kwenye uzalishaji bila hofu.
Wataalam na wafuatiliaji wa mambo; je, ni kweli kwa taharuki zushi hii imetuondolea taharuki ya Changamoto ya kupumua nchini?