Weka 5M uvune faida ya 5M baada ya miezi 5

Weka 5M uvune faida ya 5M baada ya miezi 5

Vangigula mm ndugu yangu alivikimbia vitunguu baada ya kuvinunua Lumumaakaja shusha soko la Majengo Dodoma kwa vile s
wiki hilo vilitangulia vywa wenzake yeye wakamsubirisha
kwanini asikute vimeshaanza kuota?
sasa hapo sijui ni kitu gani joto la kwenye gari na hapo stoo
hata leo hataki tena
labda nijaribu na mm tena
 
Vangigula mm ndugu yangu alivikimbia vitunguu baada ya kuvinunua Lumumaakaja shusha soko la Majengo Dodoma kwa vile s
wiki hilo vilitangulia vywa wenzake yeye wakamsubirisha
kwanini asikute vimeshaanza kuota?
sasa hapo sijui ni kitu gani joto la kwenye gari na hapo stoo
hata leo hataki tena
labda nijaribu na mm tena
Ha ha ha...... Kila kitu kina taratibu zake mkuu. Mimi sijawahi kusafisha, nimelima misimu 2 na kutunza, kwa hayo ninaweza kukushauri kwa lolote. Ila ni sawa na ukasikia biashara ya samaki inalipa then ukaenda kuwapakia kwa fuso bila kuzingatia cold storage, utawakimbia. Do your homework then do business
 
Hiz post huwa hamuangalii upande wa changamoto zake nyie ni kusema tu utapata faida kias flan unazan soko,hal ya hewa ,na Vingine vinakusubir ww
 
Hiz post huwa hamuangalii upande wa changamoto zake nyie ni kusema tu utapata faida kias flan unazan soko,hal ya hewa ,na Vingine vinakusubir ww
Mkuu, mimi mwenyewe nalima kitunguu na kuweka. Ninakuza tu mtaji, na nikishafikia uwezo wa kununua kitunguu cha at least 30M, naacha kulima. Kwa nini? Kwa sababu, changamoto na uncertainties kwenye kununua na kuhifadhi ni chache na manageable kuliko za kulima. Besides, namna unavyoweza kudeal na changamoto ndo kunavyotofautisha faida yako na ya yule. Cha msingi, fanya utafiti, naamini kama utafanya kwa weledi, changamoto zake na faida zake utazibainisha tu.
 
Back
Top Bottom