Weka 'Alerts' Google ili upate ujumbe kila taarifa zako zinapoandikwa mtandaoni ili Ujilinde kwenye Mitandao

Weka 'Alerts' Google ili upate ujumbe kila taarifa zako zinapoandikwa mtandaoni ili Ujilinde kwenye Mitandao

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
DIGITAL SECURITY:

FUATILIA TAARIFA ZAKO KUJILINDA MTANDAONI

Jinsi ya Kuweka Arifa za Google ('Google Alerts') Ili Kufuata Jina Lako au Taarifa Zako Zinapowekwa Mtandaoni:

1. Tembelea 'search engines' kama 'Google' kisha andika Google Alerts

1727971322930.png

2. Andika jina lako au taarifa unayotaka kufuatilia katika kisanduku cha juu cha utafutaji.
1727971379304.png

3. Badilisha mipangilio kulingana na upendeleo wako:

1727971453445.png

  • Chagua ni mara ngapi unataka kupokea tarifa,
  • Aina za tovuti ambazo unataka kufuatilia,
  • Lugha unayotaka kutumia,
  • Eneo au nchi unayotaka kupata taarifa zako,
  • Idadi ya matokeo unayotaka kupokea,
  • Barua pepe itakayopokea arifa hizo.

4. Kamilisha kwa kubofya kitufe cha "Unda Arifa" (Create Alerts).
1727971499155.png
 

Attachments

  • 1727971440068.png
    1727971440068.png
    49.8 KB · Views: 5
Nimemaliza kwa kubonyeza create alerts. Kwa hiyo alert ya kutumika kwa taarifa yangu nitakua nsipata kwa email ama?
 
Back
Top Bottom