Weka CV yako hapa

huu uzi ni wa kupuuzwa kabisa.
 
Huu uzi ni wakupuuzwa kabisa.
Kuna mtu kutumia vitu vyako bila ridha yako kwani hatakuwa anapata acess kwa urahisi kama vyeti na passport hata leseni kama alivyodai. Kitaalamu tunaita phishing.
 
Mtu anatumia Fake ID hapa JF af unasema aweke CV???

Súbiri ataweka fisi
 
Dahh! Mtu aweke CV then umtafutie ajira!!!!!!!!!!!!! kwani we ni wakala wa Ajira?
 
Wewe mwenyewe umesha ajiriwa ama umejiajiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…