Weka dirisha la dharura kwenye nyumba yako, nyumba siyo gereza

Weka dirisha la dharura kwenye nyumba yako, nyumba siyo gereza

Uko sahihi mimi nimeweka mlango wa dharura naufungia kwa ndani tu ukiwa nje huwezi kuufunga wala kufungua,kuna nyumba iliungua buguruni,familia inaungua inajona wakawa wanaagana kabisa na majirani,haya baba nanii wasalimie huko mbingumi
Kuna moja iliungua majira ya usiku huko Buguruni miaka ya nyuma kidogo alipona mwanafamilia mmoja tu ambae alienda club usiku huo.
 
Retractable security grills nafikiri inaweza kuwa salama zaidi incase kukitokea tatizo la moto. Binafsi hizi grills madirishani zilishanishinda sijaweka na madirisha yangu ni makubwa full sliding windows - floor to ceiling (3m by 2.4m) niliongeza ukubwa wa madirisha kidogo kutoka mita 2 mpaka mita 3 nikifungua napata uwazi wa 1.5m.
Mazingira na ulinzi binafsi unakuruhusu. Huku kwetu uswahilini na hatuna mbwa au mlinzi nyumba yako itakuwa punching bag la vibaka.
 
Retractable security grills nafikiri inaweza kuwa salama zaidi incase kukitokea tatizo la moto. Binafsi hizi grills madirishani zilishanishinda sijaweka na madirisha yangu ni makubwa full sliding windows - floor to ceiling (3m by 2.4m) niliongeza ukubwa wa madirisha kidogo kutoka mita 2 mpaka mita 3 nikifungua napata uwazi wa 1.5m.
This is incredible
 
Mazingira na ulinzi binafsi unakuruhusu. Huku kwetu uswahilini na hatuna mbwa au mlinzi nyumba yako itakuwa punching bag la vibaka.
Hapa kweli kabisa Jombaa. Niliwahi kuandika humu sehemu nilisema mazingira ya eneo ulilojenga ni muhimu sana kufanya kama nilivyofanya.
 
Back
Top Bottom