Weka gari yako ya umeme itakayompoteza Lucid Air!

Weka gari yako ya umeme itakayompoteza Lucid Air!

Hii Lucid Air kutoka Lucid Motors, USA, ni chuma na nusu aisee, especially kwa wadau wa executive sedans.
View attachment 3087199
Naikubali katika sekta zote tatu kuu, muonekano, technology na performance!

View attachment 3087200

Kwa muonekano, chuma inavutia sana, kuanzia nje na ndani. Imekaa kistylish na kisasa ukifananisha na sedans nyingi za class yake, ata Model S, Tycan na sedans za EV kutoka Ujerumani zinakalishwa.
View attachment 3087201

Technologically, chuma inakuja na ADAS yao inayoitwa DreamDrive, ambayo ina sensors karibia 32 ikiwemo camera 14. Vyote ivyo ni kusaidia katika autonomous driving assistance.
View attachment 3087202

Chuma pia ina active suspension, panoramic sunroof, executive rear seats, na wapenzi wa audio kuna speaker system 29, zikija na noise cancellation, utachagua rim size 20 au 21, na seat ya mbele unaweza kuadjust mara 22 pia ina ventilation na massage.

Performance
Hii chuma ni moja ya quickest EV Duniani, inakuja na option ya motor mbili, tatu au nne (kwahiyo utachagua RWD au AWD), na horsepower zinafika hadi 1300 kutegemea na model na range hadi kilometa 800+!!
View attachment 3087203
Base level ya Lucid Air inatumia battery la 88 kWh ambayo ni RWD, inayotoa 430 hp na range ya 653 km wakati Lucid Air Dream Edition Performance inatoa 1,111 hp na ina acceleration ya 0-100 kph ya 2.5 sec, na inaweza kufika top speed ya 378 km/h.
View attachment 3087205

Pamoja na kwamba gari ni high performance, kali na ipo quick, ila ni very efficient pia. Mfano, Lucid Air GT ina efficiency ya 0.16kWh/km (approximately sawa na 55 km/L)!

Bei tusiongelee sana ($70,000 unapata Tesla Model 3 hapo mbili) lakini ni moja ya best kama sio namba 1 EV nnayoiona ni kali.

Weka yako tuone!
Mzee nenda ka google kitu inaitwa Byd yangwang u9, electric supercar, kitu inaweza fikisha 80% charge by 10 mins na ina double charge, ina mbwembwe kibao ikiwemo ku jump, ni tech inaitwa byd disus-x system ambayo inaweza tembea na tire 3, tank turn,


View: https://youtube.com/shorts/C9KIi7Ovt8E?si=Iqh0vER130tm_zXf


View: https://youtube.com/shorts/Gn8lN3c2y5w?si=iFGAvlqe0SpDtS1C


View: https://youtu.be/b3uFM_aoH8c?si=14fPaD9CmQXD5ZLx

Haya sasa bwana Mad Max leta maneno

Bei yake 232,000 USD
 
Faw Hongqi

20240904_232850.jpg
20240904_232853.jpg
20240904_233036.jpg
 
sijawahi zielewa gari za umeme kwa kweli

ila cyber truck kidogo inanivutia maana mimi hupenda monster trucks
IMG_6545.jpeg


Uzuri wa magari ya umeme, hayahitaji routine maintenance kama oil change n.k.

Hayana sauti kubwa. Hayatoi moshi/ hayana exhaust pipes, n.k.

Yana faida zake nyingi tu.

Ila moja ya downsides ni betri. Betri zake ni ghali sana.

Halafu ni mazito sana.

Cybertruck kwa mfano, lina uzito wa ratili 6000 na ushee. Hizo ni takriban kilo 2000 na ushee. Tani mbili!
 
Mzee nenda ka google kitu inaitwa Byd yangwang u9, electric supercar, kitu inaweza fikisha 80% charge by 10 mins na ina double charge, ina mbwembwe kibao ikiwemo ku jump, ni tech inaitwa byd disus-x system ambayo inaweza tembea na tire 3, tank turn,


View: https://youtube.com/shorts/C9KIi7Ovt8E?si=Iqh0vER130tm_zXf


View: https://youtube.com/shorts/Gn8lN3c2y5w?si=iFGAvlqe0SpDtS1C


View: https://youtu.be/b3uFM_aoH8c?si=14fPaD9CmQXD5ZLx

Haya sasa bwana Mad Max leta maneno

Bei yake 232,000 USD

Nimeielewa mkuu. Kali nakubali sana na Wachina kwa mbwembwe nawapa heshima.
 
View attachment 3087320

Uzuri wa magari ya umeme, hayahitaji routine maintenance kama oil change n.k.

Hayana sauti kubwa. Hayatoi moshi/ hayana exhaust pipes, n.k.

Yana faida zake nyingi tu.

Ila moja ya downsides ni betri. Betri zake ni ghali sana.

Halafu ni mazito sana.

Cybertruck kwa mfano, lina uzito wa ratili 6000 na ushee. Hizo ni takriban kilo 2000 na ushee. Tani mbili!
Na uzito mkubwa utakua unatoka kwenye battery si Ndio?

Energy density ya battery Za EV bado ndogo, ila tuwape muda.
 
Na uzito mkubwa utakua unatoka kwenye battery si Ndio?

Energy density ya battery Za EV bado ndogo, ila tuwape muda.
Naam. Huo uzito ni kwa sababu ya betri zake.

Bado hakuna miundombinu inayoweza kustahimili uzito wa hayo magari bila kuleta madhara.

Pata picha parking garage yenye floors tatu au nne halafu yote iwe imajaa magari ya umeme.

Itakuwa ni majanga tu.
 
Kwakua hazipishani sana bei na Model S, ushuru wake utakua kwenye Mil 60+

View attachment 3087239
Mfano huo ushuru wa Model S ya 2020.
Hivi hii mikodi ya kukomoana yanini lakini, mikodi kama hiyo ni Kwa wanaojaribu kulinda viwanda vyao, sisi hatuna hata kimoja, Kwa kweli huu ujinga ndio maana umaskini hautatuacha, hata US nchi tajiri mara millioni kuliko TZ lakini Kodi ya kuagiza gari ni ndogo kuliko Tanzania, ukienda Bank interest ni karibu 20% na mikodi isiyo na tija kama hii Kila Kona then wafanyakazi wakuibie, hatutaendelea kamwe mpaka tubadilike
 
Hizo gari Raha yake ni kuendesha na husikii kelele na bei ni rafiki shida sidhani kama Kuna fundi tz wakuweza ku deal nayo ikileta shida
 
View attachment 3087320

Uzuri wa magari ya umeme, hayahitaji routine maintenance kama oil change n.k.

Hayana sauti kubwa. Hayatoi moshi/ hayana exhaust pipes, n.k.

Yana faida zake nyingi tu.

Ila moja ya downsides ni betri. Betri zake ni ghali sana.

Halafu ni mazito sana.

Cybertruck kwa mfano, lina uzito wa ratili 6000 na ushee. Hizo ni takriban kilo 2000 na ushee. Tani mbili!
gari nzito ni salama sana barabarani ndugu
 
Back
Top Bottom