Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 1,915
- 5,750
Aisee mwaka flan nilipigwa hela ndefu tuu (story ndefu), nikawa majalala ile mbaya, nikakopa kias flan nikaingiza kwenye biashara kiuoga kinyama. Baada ya wiki sita nikiwa juu ya mawe nikakuta 50K kwenye kitabu cha TB Joshua. Nikakumbuka niliwekaga kitambo hela humo nikawa natoa kidogo kidogo, nilipopigwa nikadhani nilizimaliza zote.Kukuta hela uliyoisahau kwenye suruali ukiwa uko majalala siku hiyo
K vant ukinywq nyingi unasahau mambo uliyoyafanya kipindi umelewaSiamini kama mpaka sasa sijaona komenti ya kitimoto na k-vant
unasali kanisa ganiKujazwa na RohoMtakatifu wakati wa maombi,aaaargh!! daaa hakuna mfano ukimaliza maombi unaona raaaaha sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama hujawahi tumia ugoro omba wakupimie na uwe umeshiba
ila sio mzuri` nimewahi tumia for 2 days nika ukimbia
Ila We jamaa kwa maswali upewe tuzo tu.
Sikiliza kaka, huna mamlaka ya kupanga ipi ni starehe kwa mtu na ipi sio. Kama wewe unaona ngono ndio kitu bora kwako fresh, endelea kungonoka waache wenzio wafanye mambo mengineNgono, mimi hua nashangaa eti kuna mwanaume anasema hapendi ngono, unajiuluza huyu ni mzima kweli ama ni shoga?
Mwanaume yoyote job description yako ya kwanza ni kuchapa mbunye, kuzichapa usiku mchana. Sasa mwanaume hupendi ngono unapenda nini?
Unakuta mwanaume anapenda pombe kuliko ngono, unashangaa hawa ni wanaume wa wa aina gani?
Utapenda mavi yanavyotoka utakuja penda pipe inavyozamaKukata gogo aisee.
Afu liwe lile laini laini (SIO uharo!!)
Hapana!! Lile ambalo unatumia nguvu flani ya wastani tu kujikamua.
Afu Kama choo Ni Cha kuflash vile unasikia linatumbukia kwenye maji "chubwiii"[emoji39][emoji39] Yani we ACHA tu! [emoji41][emoji41]
Tutammiss kwa kweli, very muchhahha tumetofautiana, mimi napendaga sana kusikiliza ralliea za trump, aisee jamaa ni anamwaga nondo ila ni comedian balaa 😂😂 public speaking nampa A, yeye speech zake anaingeaga bila kuandikiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huuu mmea huuu basi tu sjui kwann wanaubeza akati watalaaam wamethibitisha ni dawaBangi....Aisee huu mmea uacheni
TAG(Tanzania assemblies of God)
Hii nina experience nayo.Kukuta hela uliyoisahau kwenye suruali ukiwa uko majalala siku hiyo
😀😀Ukose usingizi pua zimeziba kwasababu ya mafua, alafu baada ya dakika chache usikie zinafunguka, wee! acha mkuu!
Hahaaaa raha yake utadhani hiyo hela umepewa. Wakati ni yakwakoAisee mwaka flan nilipigwa hela ndefu tuu (story ndefu), nikawa majalala ile mbaya, nikakopa kias flan nikaingiza kwenye biashara kiuoga kinyama. Baada ya wiki sita nikiwa juu ya mawe nikakuta 50K kwenye kitabu cha TB Joshua. Nikakumbuka niliwekaga kitambo hela humo nikawa natoa kidogo kidogo, nilipopigwa nikadhani nilizimaliza zote.
Juzi nimetumia hela yakula kulipia mchango wa dharula ofisini, nikawa nawaza pasi ndefu mpaka nirudi home, mara paap... msimbazi upo katikati ya notebook.
Aisee hii kitu raha sana yaani unaweza jikuta na wee mwenyewe huku unabaishia baishia ukutaKupiga chabo.. Aisee.. tena ukibahatisha Video kabisa wakiwa hawajafunika pazia vizuri, ila kama wamefunika unakula hata audio tuu.. sio poaa!!
Huyo huwa siyo roho mtakatifu wewe...Kujazwa na RohoMtakatifu wakati wa maombi,aaaargh!! daaa hakuna mfano ukimaliza maombi unaona raaaaha sana.
Usilinganishe pombe na mambo ya ajabu aiseeNgono, mimi hua nashangaa eti kuna mwanaume anasema hapendi ngono, unajiuluza huyu ni mzima kweli ama ni shoga?
Mwanaume yoyote job description yako ya kwanza ni kuchapa mbunye, kuzichapa usiku mchana. Sasa mwanaume hupendi ngono unapenda nini?
Unakuta mwanaume anapenda pombe kuliko ngono, unashangaa hawa ni wanaume wa wa aina gani?
Ngono, mimi hua nashangaa eti kuna mwanaume anasema hapendi ngono, unajiuluza huyu ni mzima kweli ama ni shoga?
Mwanaume yoyote job description yako ya kwanza ni kuchapa mbunye, kuzichapa usiku mchana. Sasa mwanaume hupendi ngono unapenda nini?
Unakuta mwanaume anapenda pombe kuliko ngono, unashangaa hawa ni wanaume wa wa aina gani?