Weka hapa starehe zenye kuleta raha ila watu wanazibeza

Weka hapa starehe zenye kuleta raha ila watu wanazibeza

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1. Kuchelewa kulala na kuamka umechoka, ile unataka kujiandaa kuwahi kazini, kichwa kinatulia unagundua kumbe upo off au likizo.

2. Umebanwa sana na haja kubwa au ndogo, ile raha unayopata unapoiachia haja iliyokutesa haina mfano. Mi huwa nafunga macho kabisa kama ni ndogo

3. Weekend umepigika zako home huna hata pesa ya pepsi, mara paap SMS inaingia, Imethibitishwa ya kiasi flani cha kwenda nje kujidai 😁

4. Kujisafisha maskio, kuna kasehemu flani ukisafisha na pamba unapata stim kali sana hadi macho yanapinduka
 
Ngono, mimi hua nashangaa eti kuna mwanaume anasema hapendi ngono, unajiuluza huyu ni mzima kweli ama ni shoga?

Mwanaume yoyote job description yako ya kwanza ni kuchapa mbunye, kuzichapa usiku mchana. Sasa mwanaume hupendi ngono unapenda nini?

Unakuta mwanaume anapenda pombe kuliko ngono, unashangaa hawa ni wanaume wa wa aina gani?
 
Kukuta hela uliyoisahau kwenye suruali ukiwa uko majalala siku hiyo
Kuna mwana aliazima begi langu dogo la mgongoni siku kalirudisha nipo majalala hatari. Nina kasafari ka kwenda town halafu nina buku tu 500/= kwenda na nyingine kurudi, nipo kwenye daladala kulisachi nakuta 10k, you should have seen my face. I was glowing 😊😊😊
 
Ngono, mimi hua nashangaa eti kuna mwanaume anasema hapendi ngono, unajiuluza huyu ni mzima kweli ama ni shoga?

Mwanaume yoyote job description yako ya kwanza ni kuchapa mbunye, kuzichapa usiku mchana. Sasa mwanaume hupendi ngono unapenda nini?

Unakuta mwanaume anapenda pombe kuliko ngono, unashangaa hawa ni wanaume wa wa aina gani?
Mkuu kwani lazima kila mtu apende unachopenda wewe?
 
Back
Top Bottom