Weka hapa tukio ambalo hutokuja kulisahau

Ukishampasua utakuwa umemsaidia au umemuharibu?
 
daaaaaaamn........mh...noma.
 
Huu uzi aaargh...
Kuna nini wiki hii, deo kisandu kwancha karudi, saiv nyuzi za macho tangu jana aisee..
 
Mkuu bora kuyachota yote mara moja. Ulifanyiwa ukatili mkubwa mnooo
Yaani pale tulikuwa wazalendo wengi kama 90 hivi na tena ilikuwa unasachiwa kama umechota mengi kichapo maana lengo lao lilikuwa uchote kidogo ili kila mmoja ayashike[emoji13] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…