Weka hapa utabiri wako wa tuzo za TFF

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Mimi utabiri wangu upo hivi[emoji116][emoji116]

Kipa bora -Diarra (sababu ana cleansheet nyingi kuliko makipa wote)

Kiungo bora -Chama ( sababu ana assist nyingi kuliko wote)

Mfungaji bora -Mayele (sababu amescore magoli mengi zaidi kuliko wote)

Mchezaji bora -Ntibanzonkiza(sababu amechangia katika upatikanaji wa magoli mengi kuliko mchezaji yeyote)

Beki bora -Inonga (ameunda ngome iliyoruhusu magoli machache kuliko timu zote)

Kocha bora -Nabi( mkali wa mbinu,na amewezesha timu kubeba ubingwa wa ligi kupitia mbinu zake)

Weka utabiri wako na wewe [emoji12]
 
Huyo babu saidi amekifanya nini mpaka awe mchezaji bora labda kama ni utani,tuzo zote hizo anabeba mayele
 
Mchezaji bora mwaka huu ni Mzamiru wa Simba.
Mimi ni Yanga.
 
Mchezaji bora mwaka huu ni Mzamiru wa Simba.
Mimi ni Yanga.
Mzamiru, anazidiwa mbali na , Akaminko, Aucho, Salum Abubakar, Mudathiri n.k Mzamiru Yuko level 1 na Bajana, Kagoma n.k
Ni tabia za kipuuzi za Tff zinazo leta picha mbaya kwenye soka la Tanzania.
 
Mzamiru, anazidiwa mbali na , Akaminko, Aucho, Salum Abubakar, Mudathiri n.k Mzamiru Yuko level 1 na Bajana, Kagoma n.k
Ni tabia za kipuuzi za Tff zinazo leta picha mbaya kwenye soka la Tanzania.
Huo ni mtazamo.
Nawe weka mtu wako maana hii si ligi na wala si ushabiki.
Kati ya hao kwa mwaka huu hakuna anayemkaribia Mzamiru.
 
Mzamiru, anazidiwa mbali na , Akaminko, Aucho, Salum Abubakar, Mudathiri n.k Mzamiru Yuko level 1 na Bajana, Kagoma n.k
Ni tabia za kipuuzi za Tff zinazo leta picha mbaya kwenye soka la Tanzania.
Uwongo huo....

Kuandikaandika mbona rahisi tu ila ukiambiwa ueleze kinagaubaga utapotea kama Ninja[emoji23]

Hao uliowataja wamemzidi nini Mzamiru?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…