DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Mimi utabiri wangu upo hivi[emoji116][emoji116]
Kipa bora -Diarra (sababu ana cleansheet nyingi kuliko makipa wote)
Kiungo bora -Chama ( sababu ana assist nyingi kuliko wote)
Mfungaji bora -Mayele (sababu amescore magoli mengi zaidi kuliko wote)
Mchezaji bora -Ntibanzonkiza(sababu amechangia katika upatikanaji wa magoli mengi kuliko mchezaji yeyote)
Beki bora -Inonga (ameunda ngome iliyoruhusu magoli machache kuliko timu zote)
Kocha bora -Nabi( mkali wa mbinu,na amewezesha timu kubeba ubingwa wa ligi kupitia mbinu zake)
Weka utabiri wako na wewe [emoji12]
Kipa bora -Diarra (sababu ana cleansheet nyingi kuliko makipa wote)
Kiungo bora -Chama ( sababu ana assist nyingi kuliko wote)
Mfungaji bora -Mayele (sababu amescore magoli mengi zaidi kuliko wote)
Mchezaji bora -Ntibanzonkiza(sababu amechangia katika upatikanaji wa magoli mengi kuliko mchezaji yeyote)
Beki bora -Inonga (ameunda ngome iliyoruhusu magoli machache kuliko timu zote)
Kocha bora -Nabi( mkali wa mbinu,na amewezesha timu kubeba ubingwa wa ligi kupitia mbinu zake)
Weka utabiri wako na wewe [emoji12]