GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Binafsi niliitumbua Hela ya Ada niliyopewa na kule ambako nilitegemea kuipata nyingine mipango ' ikabuma ' hivyo ikanibidi niingie katika dhambi ya Kudanganya ambapo nilimseti Askari mmoja kuwa apige Simu kwa Mzazi wangu na aseme kuwa nimevamiwa na Majambazi na Kuporwa kila kitu hadi Ada yangu.
Baada ya hilo Biti la Askari Mshua alijipanga na baada ya kama Wiki mbili hivi Ada ilitumwa ambapo nilitoa sehemu kidogo nikampa yule Askari na nyingine nikaongezea na niliyoibakisha nikakamilisha Ada ya Shuleni.
Na Wewe sema Uwongo wako ambao ulikuja Kukusaidia ulipokuwa Shule ya Upili ( Sekondari ) enzi zako.
Nawasilisha.
Baada ya hilo Biti la Askari Mshua alijipanga na baada ya kama Wiki mbili hivi Ada ilitumwa ambapo nilitoa sehemu kidogo nikampa yule Askari na nyingine nikaongezea na niliyoibakisha nikakamilisha Ada ya Shuleni.
Na Wewe sema Uwongo wako ambao ulikuja Kukusaidia ulipokuwa Shule ya Upili ( Sekondari ) enzi zako.
Nawasilisha.