severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Ndugu unamaanisha hao walikuwa wanapewa sifa tu ambazo hawakustahili kuzipata au!? Fikiri Mara mbili aseeEdibily Jonas Lunyamila 'Lunya', Hamis Tobias Gaga 'Gagarino', Paul Asule, Peter Tino, Godwin Aswile Mlumba 'Scania', Gibson Sembuli, Ali Maumba, Ubwa Makame 'Mzungu', Dua Saidi, Selestine Sikinde Mbunga, Victor Nkanwa, Sanifu Lazaro 'Tingisha', Makumbi Juma, Sahau Kambi, Justine Mtekele, Willy Mtendawema 'Gari Kubwa', and the list goes on
Kwanza ametokea wapi? Na kwa nini kakolanya Jana hakucheza au alikuwa kwenye mgomo?Kindoki huyu kipa sijui kafikaje pale Yanga,
Ha ha ha ha kila siku yupo na mikanzu jukwaani tu,ila ukisikia hizo sifa zake utaogopa hata kucheza naeAlikiba asee sijui Coastal wamesajili mchezaji au mwanamuziki
Hapana...hao ni vifaa hasa. Niluchokifanya ni kuita wakingwe wenzangu kama wamo kwenye huu uzi. I hope wewe ni mkongwe mwenzangu pia.Ndugu unamaanisha hao walikuwa wanapewa sifa tu ambazo hawakustahili kuzipata au!? Fikiri Mara mbili asee
Hakika ndugu wahenga tunatambua haya, hizo ni namba zingine kabisa!Hapana...hao ni vifaa hasa. Niluchokifanya ni kuita wakingwe wenzangu kama wamo kwenye huu uzi. I hope wewe ni mkongwe mwenzangu pia.
Ha ha duuOkwi(garasa la kujirusharusha tu ili kupata penati za bure)....nyoni(anacheza kama anarukaruka singeli)
YoooooooHa ha ha ha kila siku yupo na mikanzu jukwaani tu,ila ukisikia hizo sifa zake utaogopa hata kucheza nae
Anataka mke......makambo
[emoji2] [emoji2]Yooooooo