Mkuu hiyo ndo cm yako.Wadau kichwa kinaniuma kwa kufikiria,
Hivi hako ka mstari kwenye heading kaka yetu Dayamond alikua anamaanisha nini?
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Alimaanisha ile njia ingine kubwa mzigo unapotokeaWadau kichwa kinaniuma kwa kufikiria,
Hivi hako ka mstari kwenye heading kaka yetu Dayamond alikua anamaanisha nini?
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
kwani wewe hujawai kupaka mate ili iteleze?? au huwa unapaka nini.....Inasikitisha sana tena sana, wewe fikiri kwa makini ni kitu gani kikipakwa mate kinateleza kama nyoka pangoni?..... Hii ndiyo aina ya misemo vijana wetu na watu wazima waliopotoka wanapenda kuisikia, wakisikia basi wanatabasamu, wanafurahi, wanacheka mioyo yao iliyojaa uzinzi inasuuzika, na kufarijika; na ndiyo maana wanamuziki wazinzi kama Diamond wanaitumia sana hii misemo kwenye nyimbo zao sababu wanajua ni nini hii jamii iliyopinda inataka.
Bwana Hance habari yako [emoji4] [emoji4]Hii mada imeshajadiliwa kitambo Diamond anaposema "bana choo" na "paka mate iteleze" unaelewa nini?
Ingia humo.
Au ngoja nimuite moderator aje akusaidie kuunganisha uzi.
Fresh vpDOgo G ujambo?
Swali gani hili la kitoto unauliza?..... Hivi hebu nikuulize; sisi binadamu tunakunya kila siku na kukojoa lakini mbona husikii watu wakiimba kwenye nyimbo zao kuwa wanakunya?.... Siyo kila kitu ni cha kuimba kwenye nyimbo. Hapo ndipo maadili yanapochukua nafasi yake.kwani wewe hujawai kupaka mate ili iteleze?? au huwa unapaka nini.....
Ndiyo maana nalia na aliyemuweka 20% matatizo. Kijana yule alikuwa na tenzi nzuri za kuasa vijana mfano tenzi hiziKizazi kichafu na cha zinaa, kimejaa misemo michafu yenye kuashiria uzinzi na uasherati, watu waliojaa macho ya uzinzi na matamanio, jamii iliyopotoka na kuwa watumwa wa ngono!
Watu wa Sodoma na Gomora kama wangefufuliwa leo hii, hakika wangetuonea wivu kwa jinsi ya matendo yetu ya ngono yamewazidi wao.
MUNGU BABA utuhurumie na kutusamehe sisi tuliopotoka.