Weka mkasa wako: Mnakutana na kuishi kwa furaha kumbe ni unafiki mwingi, kesho mkizidiana ama kupishana mnaanza kuchomeana

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Baada ya kumaliza chuo nilibahatika kupata kazi ya mkataba wa mwaka kampuni flani binafsi, Niliweza kujuana na kuishi vizuri na wenzangu wa hio kampuni, sasa niliwakaribisha gheto wakakuta nna Tv nchi 55 (nilipewaga na bro wangu)

wakaenda mwambia boss nna Tv kubwa kama nyumba hata yeye agusi

zikaanza zengwe za boss, full kunichora wanifukuze, siku moja ndo kafunguka kwamba mie ni mwizi hadi nimenunua tv kubwa sana (tv yenyewe nilipewa bure)
 
Kwa sisi ambao tunatengeneza marafiki katikati ya harakati ni ngumu sana kukitana na hizi shida zenu vijana wa leo.Yan sie wengine hatuna time ya ku make friends nje ya shughul zetu.Kwa kifupi we dont make friends atall ila ni kaz ndio zinatukutanisha na wadau. So wote mnakutana kila mtu akiwa kwenye mapambana na mshare areas of interests tuu ..Muda wa kuonea wivu mafanikio ya watu unatoka wapi...Kila mtu yuko busy na issues.Mnawasiliana only when it is neccessary sio haya matabia yenu vijana kushinda kwa mwenzako daily na huna la maana ..hakuna cha msingi cha kuwafanya muonane kila wakat ndio maana mnaishiwa ya msingi ya kufanya mnajikuta mnaparamia agenda za kuchunguzana maendeleo yenu and finally roho za vijicho zinaanza.

Nitakupa mfano mmoja.

Week kadhaa Zimepita kuna member humu alipost uzi kuomba assistance ya kusaidiwa kwenye project yake humu.Nikamfuata private kuona how can i be of assistance lengo lilikua ni kuona kama naweza kuwa na inout zozote.

Tuka exchange contact akanitumia documentation na tukafikia tulipofikia.
Ikatokea kuonana bas nikam invite ofisin kwangu tukapiga story nyingine nying sana baada ya kumalizana na agenda ya msingi.

Nikamuelezea kuhus changamoto aliopata mwanangu inaitwa oestimalytes na kama bahat tu jamaa akanipa ushauri wa nguvu sanaa kwakua na yeye mdogo ake alipata shida kama hiyo..Akanielekeza mpaka madaktari wazuri wa hii kitu..

tuliongea menfi sana.


Sasa kama unakutana na friends wa ku share nao benefits, wivu utatoka wapi.Aki fail yeye ume fail wewe so unafikir utawaza nin kama sio kutaman kuona anafika mbali na wewe ufike mbali?
 
Na hii inachangiwa na kutowekeana mipaka
 
Popote ulipo May God bless you

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Staffs wenzako sio wa kupeleka nyumbani..kwa kufanya hivyo kunaongeza chance ya kuoneana wivu,kuchomeana na kusingiziana mambo ya uwongo.BINADAMU WA LEO TUMEKUA NA UNAFIKI MWINGI SANA.
 
Mnawasiliana only when it is neccessary sio haya matabia yenu vijana kushinda kwa mwenzako daily na huna la maana ..hakuna cha msingi cha kuwafanya muonane kila wakat ndio maana mnaishiwa ya msingi ya kufanya mnajikuta mnaparamia agenda za kuchunguzana maendeleo yenu and finally roho za vijicho zinaanza".

Hiyo paragraph akuelewe sana tena sana
 
Staffs wenzako sio wa kupeleka nyumbani..kwa kufanya hivyo kunaongeza chance ya kuoneana wivu,kuchomeana na kusingiziana mambo ya uwongo.BINADAMU WA LEO TUMEKUA NA UNAFIKI MWINGI SANA.
Bado unakua hutatui tatizo la msing kijana.
Yan hapa unakua una deal na matawi badala ya kushughulikia mziz wa fitna.
Huwez zuia staffs wenzako kufika home kwakua kuna social events like misiba au kuugua/liwa ambazo social groups lazima zifike tu home hata kama hutaki.
So staffs wenzako kufika kwako hakuhusian na uhusiano wako na wao.

Just keep this in mind "dont make stupid friends".
 
Kuna mwanangu anapenda kunisimulia mambo yake na mipango yake. Juzi kanipiga kamba za kuwa na miradi ya kumtafuta Elon musk na idea zake akazisajili COSOTa. Nimemchunguza sana, lengo lake nimuonee wivu nimuone yeye jiniazi...

Toka nijue lengo lake yangu simwambii kabisaaaaaa. Huyu anaweza kuwa mwanga mana hii roho yake ya kichawi na kinafki
 
Bwana Sir Midabwada asante imeifanya weekend yangu murua .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Jamaa yangu alinisingizia nimeiba milioni 75 kati ya tulizopewa milioni 370 za mradi!!

Nikaenda mpka mahabusu nikatoka sikufukuzwa kazi na ile million 75 bado haijaisha naila mdogo mdogo wakose ushahidi๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ

Huyu jamaa munafiki sana ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ