Weka mtu wako hapa wa JamiiForums ukimshukuru kwa chochote kile

Weka mtu wako hapa wa JamiiForums ukimshukuru kwa chochote kile

Nakubaliana na wanaosemaga JF ni kisima cha maarifa, kuna maarifa unaweza usiyapate pengine ila JF utayapata kutoka kwa watu wanaojua kuchambua vitu kutokana na experience na siyo ubabaishaji na pia siyo wachoyo wa maarifa.

Kwa upande wa teknolojia ya magari napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa viumbe wanajua kuchambua magari asee:

RRONDO - huyu hanaga ushabiki wa brand za magari, yeye anasifia magari kutokana na performance ya gari husika bila kuangalia lipo kwenye brand gani, hahukumu brand nzima

9.8ms squared - mzee wa kukandia magari ya wajapani

Extrovert - mtetezi wa magari ya wajapani

Bavaria - mzee wa Bimmer

ISO M.CodD - huyu anajisemeaga wajerumani wasimbambaishe anatunishianaga nao misuli hivyo hivyo na Fuga yake na wanamkoma haha

Kwa upande wa teknolojia ya simu napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa jamaa wanajua kuchambua simu nje ndani:

Chief-Mkwawa - huyu jamaa naye hanaga ushabiki wa brand za simu, anasifia simu kutokana na performance ya simu husika na hahukumu brand nzima kama wengine

racka98 - huyu pia yuko vizuri

reyzzap - huyu jamaa aliwahi shusha nondo kuhusu carrier-unlocked phones alienda deep na alifafanua vizuri sana

Kwa upande wa saikolojia napenda kumshukuru Da'Vinci

Kwa upande wa biashara napenda kumshukuru CONTROLA

Ni watu wengi ambao nimepata maarifa mengi toka kwao humu ila siwezi kutaja wote kwa leo nimeona niwataje hao, siku nikipataa wasaa nitaanzisha uzi Niwataje wooote.
 
Nakubaliana na wanaosemaga JF ni kisima cha maarifa, kuna maarifa unaweza usiyapate pengine ila JF utayapata kutoka kwa watu wanaojua kuchambua vitu kutokana na experience na siyo ubabaishaji na pia siyo wachoyo wa maarifa.

Kwa upande wa teknolojia ya magari napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa viumbe wanajua kuchambua magari asee:

RRONDO - huyu hanaga ushabiki wa brand za magari, yeye anasifia magari kutokana na performance ya gari husika bila kuangalia lipo kwenye brand gani, hahukumu brand nzima

9.8ms squared - mzee wa kukandia magari ya wajapani

Extrovert - mtetezi wa magari ya wajapani

Bavaria - mzee wa Bimmer

ISO M.CodD - huyu anajisemeaga wajerumani wasimbambaishe anatunishianaga nao misuli hivyo hivyo na Fuga yake na wanamkoma haha

Kwa upande wa teknolojia ya simu napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa jamaa wanajua kuchambua simu nje ndani:

Chief-Mkwawa - huyu jamaa naye hanaga ushabiki wa brand za simu, anasifia simu kutokana na performance ya simu husika na hahukumu brand nzima kama wengine

racka98 - huyu pia yuko vizuri

reyzzap - huyu jamaa aliwahi shusha nondo kuhusu carrier-unlocked phones alienda deep na alifafanua vizuri sana

Kwa upande wa saikolojia napenda kumshukuru Da'Vinci

Kwa upande wa biashara napenda kumshukuru CONTROLA

Ni watu wengi ambao nimepata maarifa mengi toka kwao humu ila siwezi kutaja wote kwa leo nimeona niwataje hao, siku nikipataa wasaa nitaanzisha uzi Niwataje wooote.
ndio list yangu kabisa bila kumsahau mzee wa kilingeni Mshana Jr,
 
Nakubaliana na wanaosemaga JF ni kisima cha maarifa, kuna maarifa unaweza usiyapate pengine ila JF utayapata kutoka kwa watu wanaojua kuchambua vitu kutokana na experience na siyo ubabaishaji na pia siyo wachoyo wa maarifa.

Kwa upande wa teknolojia ya magari napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa viumbe wanajua kuchambua magari asee:

RRONDO - huyu hanaga ushabiki wa brand za magari, yeye anasifia magari kutokana na performance ya gari husika bila kuangalia lipo kwenye brand gani, hahukumu brand nzima

9.8ms squared - mzee wa kukandia magari ya wajapani

Extrovert - mtetezi wa magari ya wajapani

Bavaria - mzee wa Bimmer

ISO M.CodD - huyu anajisemeaga wajerumani wasimbambaishe anatunishianaga nao misuli hivyo hivyo na Fuga yake na wanamkoma haha

Kwa upande wa teknolojia ya simu napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa jamaa wanajua kuchambua simu nje ndani:

Chief-Mkwawa - huyu jamaa naye hanaga ushabiki wa brand za simu, anasifia simu kutokana na performance ya simu husika na hahukumu brand nzima kama wengine

racka98 - huyu pia yuko vizuri

reyzzap - huyu jamaa aliwahi shusha nondo kuhusu carrier-unlocked phones alienda deep na alifafanua vizuri sana

Kwa upande wa saikolojia napenda kumshukuru Da'Vinci

Kwa upande wa biashara napenda kumshukuru CONTROLA

Ni watu wengi ambao nimepata maarifa mengi toka kwao humu ila siwezi kutaja wote kwa leo nimeona niwataje hao, siku nikipataa wasaa nitaanzisha uzi Niwataje wooote.
Thats my Karma
 
Nakubaliana na wanaosemaga JF ni kisima cha maarifa, kuna maarifa unaweza usiyapate pengine ila JF utayapata kutoka kwa watu wanaojua kuchambua vitu kutokana na experience na siyo ubabaishaji na pia siyo wachoyo wa maarifa.

Kwa upande wa teknolojia ya magari napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa viumbe wanajua kuchambua magari asee:

RRONDO - huyu hanaga ushabiki wa brand za magari, yeye anasifia magari kutokana na performance ya gari husika bila kuangalia lipo kwenye brand gani, hahukumu brand nzima

9.8ms squared - mzee wa kukandia magari ya wajapani

Extrovert - mtetezi wa magari ya wajapani

Bavaria - mzee wa Bimmer

ISO M.CodD - huyu anajisemeaga wajerumani wasimbambaishe anatunishianaga nao misuli hivyo hivyo na Fuga yake na wanamkoma haha

Kwa upande wa teknolojia ya simu napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa jamaa wanajua kuchambua simu nje ndani:

Chief-Mkwawa - huyu jamaa naye hanaga ushabiki wa brand za simu, anasifia simu kutokana na performance ya simu husika na hahukumu brand nzima kama wengine

racka98 - huyu pia yuko vizuri

reyzzap - huyu jamaa aliwahi shusha nondo kuhusu carrier-unlocked phones alienda deep na alifafanua vizuri sana

Kwa upande wa saikolojia napenda kumshukuru Da'Vinci

Kwa upande wa biashara napenda kumshukuru CONTROLA

Ni watu wengi ambao nimepata maarifa mengi toka kwao humu ila siwezi kutaja wote kwa leo nimeona niwataje hao, siku nikipataa wasaa nitaanzisha uzi Niwataje wooote.
😎😎 Bado upo porini
 
Nakubaliana na wanaosemaga JF ni kisima cha maarifa, kuna maarifa unaweza usiyapate pengine ila JF utayapata kutoka kwa watu wanaojua kuchambua vitu kutokana na experience na siyo ubabaishaji na pia siyo wachoyo wa maarifa.

Kwa upande wa teknolojia ya magari napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa viumbe wanajua kuchambua magari asee:

RRONDO - huyu hanaga ushabiki wa brand za magari, yeye anasifia magari kutokana na performance ya gari husika bila kuangalia lipo kwenye brand gani, hahukumu brand nzima

9.8ms squared - mzee wa kukandia magari ya wajapani

Extrovert - mtetezi wa magari ya wajapani

Bavaria - mzee wa Bimmer

ISO M.CodD - huyu anajisemeaga wajerumani wasimbambaishe anatunishianaga nao misuli hivyo hivyo na Fuga yake na wanamkoma haha

Kwa upande wa teknolojia ya simu napenda niwashukuru hawa kwa kuniongezea maarifa, hawa jamaa wanajua kuchambua simu nje ndani:

Chief-Mkwawa - huyu jamaa naye hanaga ushabiki wa brand za simu, anasifia simu kutokana na performance ya simu husika na hahukumu brand nzima kama wengine

racka98 - huyu pia yuko vizuri

reyzzap - huyu jamaa aliwahi shusha nondo kuhusu carrier-unlocked phones alienda deep na alifafanua vizuri sana

Kwa upande wa saikolojia napenda kumshukuru Da'Vinci

Kwa upande wa biashara napenda kumshukuru CONTROLA

Ni watu wengi ambao nimepata maarifa mengi toka kwao humu ila siwezi kutaja wote kwa leo nimeona niwataje hao, siku nikipataa wasaa nitaanzisha uzi Niwataje wooote.
Thanks Pal!!
Hopefully you are a tech person
 
Bervy thank you
emoji6.png

It's my pleasure....thank you!
 
Back
Top Bottom