Weka picha ya kijana anaevutia

Weka picha ya kijana anaevutia

89eb939bcfef9fc94767f8b58096c8c5.jpg
 
Nilishakuwaga na xmate wangu alikuwa handsome sana. alikuwa hana jeraha ata la kujikwaa. sasa vidada vya skuli vilikuwa vinampenda sana. kwa kuwa mimi nilikuwa rafiki yake namshauri wakijilenga twende tuka t.mb, alafu unanibakishia mi namalizia. cha ajabu alimukula demu wangu. nilipogundua nilienda kwa mshikaji wangu aliyekuwa dereva wa tz-kongo aniazime AK 47 maana alipata kimagenddo baada ya kumpelekea mcongoman maharrage akampa hiyo bunduki. sasa jamaangu aliporudi home akaificha juu ya dari. nikaenda kumuomba rafiki yangu ile AK 47. jamaa akaninyima ikabidi nimchimbe biti naenda kwa kova. sasa jamaangu akabaa ikabidi akaitupe ile bunduki shamba flani ambayo iliokotwaga na askari (kama mlisikiaga bunduki iliokotwa shambani zamani kidogo 2006) .

kama angenipa ile punduki ningemwaga utumbo wa yule baby face. cha ajabu ata sijui yupo wapi mpaka leo
Una bahati sana maana ungewajibika kulisaidia jeshi kwa namna zote.
 
Ila huyo harmonize kakomaa sura Du syo Mchezo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu,daah wewe mkali kama radi,hayo mavituz yananipagawisha mimi aisee,yaani kama ya mke wangu mama Temba aka miss Chaga bhana.
dah humu ndani tunaeza chati na ma baba zetu wadogo bila kujua..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom