Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

Hivi unaweza kuweka cheti Cha JKT kwenye ajira portal kwenye sehemu ya training au, maana kwenye other attachment hamna section ya jkt .Naombeni mnisaidie hapo ?
 
Habari zenu jobless kwa graduates, waajiri kwa wakurugenzi n.k . Niende direct kwenye mada

Kutokana na watu wengi kuhangaika kutafuta ajira na wengine kutafuta waajiriwa humu nimeamua kuja na huu uzi. Watafuta kazi wote watatuma profile zao in summary then interested part wataendelea na mazungumzo PM.

Mwajiriwa Profile yako iwe hivi, Mwajiri pia andika shortly hivo hivo

Mfano

Profession: SALES
Experience : 2 years
Education level: Bachelor degree
Location: Kinondoni, Dar.

Just that short interested parts mtamalizana PM hapa ni short profile/ summary.


Pia Kama umeona opportunity somewhere lakini ni nje ya professional yako usiache pia kum-refer mtu mwingine mwenye profile inayo match humu. Tubebane

twende kazi.

NB: Tafadhali usiweke namba ya simu wala email hapa.
MY PROFILE

Profession: PHARMACEUTICAL TECHNICIAN
Experience : 3 YEARS
Education level: ORDINARY DIPLOMA IN PHARMACEUTICAL SCIENCES
Location: KIBAMBA, DAR ES SALAAM.
 
Status : job seeker
Proffesion: Livestock/Dairy Management
Experience : 12 years
Education level : Masters Degree
Location (currently ): Arusha/Tanga.

Ahsanten na tafadhali nakukaribisha PM
 
This is nice


My profile

Proffession: Hospitality
Experience : 4 years
Education: BA
Location: Dodoma
Profession.......
Accounting&finance , expert in MICROFINANCE skilled for different lending products

Education

University degree major Accounting&Finance

Experience

More than 5years in microfinance , ability to sales team training, formation and supervising
Ability to multtask and experience different depertments in homogenous and heterogenous microfinance markets with technics in field works

Location
Living at Dar Esalaam , ready to relocate anywhere
I am immediately available
 
Habari zenu jobless kwa graduates, waajiri kwa wakurugenzi n.k . Niende direct kwenye mada

Kutokana na watu wengi kuhangaika kutafuta ajira na wengine kutafuta waajiriwa humu nimeamua kuja na huu uzi. Watafuta kazi wote watatuma profile zao in summary then interested part wataendelea na mazungumzo PM.

Mwajiriwa Profile yako iwe hivi, Mwajiri pia andika shortly hivo hivo

Mfano

Profession: SALES
Experience : 2 years
Education level: Bachelor degree
Location: Kinondoni, Dar.

Just that short interested parts mtamalizana PM hapa ni short profile/ summary.


Pia Kama umeona opportunity somewhere lakini ni nje ya professional yako usiache pia kum-refer mtu mwingine mwenye profile inayo match humu. Tubebane

twende kazi.

NB: Tafadhali usiweke namba ya simu wala email hapa.
Professional: CHEMIST
Experience : 1 year
Education level: Bachelor degree
Location: Ubungo, Dar es salam
gidionkahigwa69@gmail.com
 
Professional: pharmaceutical technician

Education: Diploma in pharamceutical science

Experience:, fresh graduate , but i was working in different hospital and community pharmacy during my 3 yrs of studies as a field student

Location: Mwanza (curently)

Gender: female
 
Natafuta anyone with valid credentials of working as a legal process server ,ajue drafting of court documents ,flexible in travelling within the country .
Sio lazima awe na degree or diploma but relevant in the said field with expirience .
Preferebaly awe male but if youre female i wont discriminate .
If you have referals from any previous state or lawfirm the better .Referal from your previous boss ni lazima.
Starting salary if you have all the above stats ,800k-1M Tshs.
You can physically deliver your documents at Mchopa and advocates behind CCM biulding offices at mnazi mmoja ,or brownmikan@yahoo.com .
Send only your CV's and referals and number ,DONT send any sensitive details like ID number (NIDA). Those picked will be called for follow ups ,deadline september 11 2023
 
Natafuta anyone with valid credentials of working as a legal process server ,ajue drafting of court documents ,flexible in travelling within the country .
Sio lazima awe na degree or diploma but relevant in the said field with expirience .
Preferebaly awe male but if youre female i wont discriminate .
If you have referals from any previous state or lawfirm the better .Referal from your previous boss ni lazima.
Starting salary if you have all the above stats ,800k-1M Tshs.
You can physically deliver your documents at Mchopa and advocates behind CCM biulding offices at mnazi mmoja ,or brownmikan@yahoo.com .
Send only your CV's and referals and number ,DONT send any sensitive details like ID number (NIDA). Those picked will be called for follow ups ,deadline september 11 2023
wadau changamka
 
Back
Top Bottom