Kasongo yeeyee
JF-Expert Member
- Oct 14, 2024
- 308
- 654
Sometimes mtu anakua anachachua tu mdomo.Labda ukwqju mtamu ila hizi chachu siwezi kabisa kula hivyo
Kama juice sawa
Hii ni sweet tamarind View attachment 3255180
sitaki mwanamke wa hivyo ukinikalia utaniumiza maana nitakuwa nahisi the skeleton of your...π€£π€£Nyuma pasi ya mkaa
Sisj ndo wazuri tunabimbilika kama Jack shein.sitaki mwanamke wa hivyo ukinikalia utaniumiza maana nitakuwa nahisi the skeleton of your...π€£π€£
Itakuwa poa sana maana bongo inaonekana ni nadra kuzipataAfrica naona zetu ni chachu ila Thailand wanazo hizo Tamu
Ukijaribu huezi kuacha unamaliza box lote
Kama bongo hakuna acha nilete mbegu nizitambulishe home
aaah wapi! nyinyi ni kama miwa mtu akikosea step kidogo tu unasikia koo ndo tayari ushamvunja ngongoti wa watu...π€£π€£Sisj ndo wazuri tunabimbilika kama Jack shein.
Yaani aina zoteee? Watoto wa afumbili sisi tunataka ufafanuziNapenda matikiti aina zote View attachment 3255235
Hapana kwa kweli π₯΄π€€
Nipo nchi ambayo hawalimi sana kwa sababu hali ya hewa hairuhusuYaani aina zoteee? Watoto wa afumbili sisi tunataka ufafanuzi
Mkuu hongera sana π₯Napenda matikiti aina zote View attachment 3255235
Usifike huko mkuu,Unaukubali sana muwa mkuu! Hongera π