Weka unaemtafuta yupo wapi ujibiwe, Wangu hawa hapa wako wapi??!

Weka unaemtafuta yupo wapi ujibiwe, Wangu hawa hapa wako wapi??!

Mie namtafuta Dada yangu anahitwa Benedicta (Kabene) kwao ni Kitaya Ibwera Bk kwa mara ya mwisho tulionana mwaka 1979 nasikia alikuwa anakaa Kigoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namtafuta Atuganile Mwaikenda amesoma kipoke secondary Tukuyu, kamaliza kidato cha nne kati ya mwaka 2002, 2003, au 2004. Mara ya mwisho nimewasiliana nae nikiwa Harare Zimbabwe 2003.
Kama kuna anayemfahamu PM tafadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cbbf018b7878110a12132ab184edb92b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Back
Top Bottom