Weka wimbo /msemo(quote) wowote unao hamasisha utafutaji wa PESA

Weka wimbo /msemo(quote) wowote unao hamasisha utafutaji wa PESA

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Ni siku nyingine tena Mwenyezi Mungu katujalia uhai ,ikiwa na maana tumepata wasaa pia wa kutafuta pesa -ikiwa ina maana ukiwa na pesa itakusaidia kupata suluhu ya mambo mengi sana .

mimi ntakupa wimbo mmoja tu zamani wazazi waliuchukia sana sababu ulihusishwa na dawa za kulevya lakini ukaja onekana ni wimbo unaoweza muamasisha yoyote popote alipo kuongeza bidii na kupata kipato - ukapendwa mpaka leo .

I got five on it - LUNIZ

View: https://youtu.be/me3CPl_i4C4?si=ZP1-ylirKmoiRr37
 
Ni siku nyingine tena Mwenyezi Mungu katujalia uhai ,ikiwa na maana tumepata wasaa pia wa kutafuta pesa -ikiwa ina maana ukiwa na pesa itakusaidia kupata suluhu ya mambo mengi sana .

mimi ntakupa wimbo mmoja tu zamani wazazi waliuchukia sana sababu ulihusishwa na dawa za kulevya lakini ukaja onekana ni wimbo unaoweza muamasisha yoyote popote alipo kuongeza bidii na kupata kipato - ukapendwa mpaka leo .

I got five on it - LUNIZ
"If money grew on trees women would marry monkeys"
hu msemo una maana gani?
 
Ni siku nyingine tena Mwenyezi Mungu katujalia uhai ,ikiwa na maana tumepata wasaa pia wa kutafuta pesa -ikiwa ina maana ukiwa na pesa itakusaidia kupata suluhu ya mambo mengi sana .

mimi ntakupa wimbo mmoja tu zamani wazazi waliuchukia sana sababu ulihusishwa na dawa za kulevya lakini ukaja onekana ni wimbo unaoweza muamasisha yoyote popote alipo kuongeza bidii na kupata kipato - ukapendwa mpaka leo .

I got five on it - LUNIZ

View: https://youtu.be/me3CPl_i4C4?si=ZP1-ylirKmoiRr37

Old school
 
Back
Top Bottom