Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,400
Tatizo kipato mkuu, tunaumizwa kweli na matatizo ya ndugu zetu ila tunaumia kimya kimya maana hata tukiwaeleza ukweli hawatuamini na hawakwishi lawama.
Na hivi tuko mbali na mboni za macho yao basi wanafikiri tunakula bata kumbe bila bila tu.
Bado tunapambana kwa imani ila ndg punguzeni lawama.
Na hivi tuko mbali na mboni za macho yao basi wanafikiri tunakula bata kumbe bila bila tu.
Bado tunapambana kwa imani ila ndg punguzeni lawama.