Wekeza kwenye uchimbaji wa dhahabu kwa mtaji wa Tsh. milioni 60

Wekeza kwenye uchimbaji wa dhahabu kwa mtaji wa Tsh. milioni 60

Sijakimbia uzi mkuu ila naona watu wanaleta ubishi tu.

Hakuna niliposema biashara hii ni rahisi kwanza tulianzia Chunya kabla ya kuhamia huku. Kule tulikuwa tunanunua makinikia badala ya kununua mawe.

Hatukuwahi kula hasara isipokuwa mara moja tena ni ya kiuzembe maana nilimwachia mtu ela aninunulie makinikia mimi nikasafiri kumbe akanunua makinikia ya bei rahisi sana.

elmagnifico Mujomba usikimbie uzi

IMG-20190711-WA0013.jpeg
 
Mkuu itakuwa bora kwanza ufike eneo la tukio uone hali halisi. Ila kama unaweza supply zile gunia za katani siyo jute huku ni deal sana maana ndizo zinatumika kutoa mawe shimon na zinauzwa hadi 8000 iwe used or mpya
Hivi naweza kupata namba yako ya simu au email cz kunabiashara flani hapo nataka tuifanye. Upande wa vifaa mnavotumia.
 
Mkuu itakuwa bora kwanza ufike eneo la tukio uone hali halisi. Ila kama unaweza supply zile gunia za katani siyo jute huku ni deal sana maana ndizo zinatumika kutoa mawe shimon na zinauzwa hadi 8000 iwe used or mpya

Nitumie namba yako nimwagize mtu ashuke nazo huko, mnataka za pamba au zile za tumbaku?
 
Nilifanya kazi ya uchenjuaji kule Rwamgasa kwa muda kidogo
Pamoja na kupata kauzoefu wa kuchagua mawe(wanaita kupiga chabo) sikufanikiwa

Nilijifunza mambo matatu:

1.Ni biashara inayohitaji mtaji mkubwa, ukiingia na mtaji mdogo kuna asilimia kubwa sana ya kupoteza.

2. Ni biashara inayohitaji mtu asiyekata tamaa haraka na aliyeweka moyo, akili na nguvu zake zote humo.

3. Mbali na kucenjua dhahabu yenyewe, kuna fursa nyingi sana zimezunguka wachimbaji wadogo mfano kuuza mercury, kuuza vyakula, mafuta/petroli kwaajili ya crusher nk
 
Wewe umeongea ukweli inabidi uingie na pesa ya kutosha usiwe na pesa ya mashaka kama una pesa ya mashaka itakula kwako.
Nilifanya kazi ya uchenjuaji kule Rwamgasa kwa muda kidogo
Pamoja na kupata kauzoefu wa kuchagua mawe(wanaita kupiga chabo) sikufanikiwa

Nilijifunza mambo matatu:

1.Ni biashara inayohitaji mtaji mkubwa, ukiingia na mtaji mdogo kuna asilimia kubwa sana ya kupoteza.

2. Ni biashara inayohitaji mtu asiyekata tamaa haraka na aliyeweka moyo, akili na nguvu zake zote humo.

3. Mbali na kucenjua dhahabu yenyewe, kuna fursa nyingi sana zimezunguka wachimbaji wadogo mfano kuuza mercury, kuuza vyakula, mafuta/petroli kwaajili ya crusher nk
 
Hakuna mtu anaitwa kuuziea dhahabu wala eneo. Watanzania mbona munakuwa waoga hivi?
Wachina wamejazana wanajichotea dhahabu wanaenda kuuza wana make money.
Kama mtu ana mtaji wa kutosha afanye research yake afanye kazi.
Dhahabu wateja wake wapo onspot huhitaji hata kuisafirisha.
Na dhahabu ni tofauti na gemstone thaman yake haitegemei shape na size kama madini mengine.
Ukishaona mtu anakuita kwenye maswala ya dhahabu jua unaenda pigwa
 
Nilifanya kazi ya uchenjuaji kule Rwamgasa kwa muda kidogo
Pamoja na kupata kauzoefu wa kuchagua mawe(wanaita kupiga chabo) sikufanikiwa

Nilijifunza mambo matatu:

1.Ni biashara inayohitaji mtaji mkubwa, ukiingia na mtaji mdogo kuna asilimia kubwa sana ya kupoteza.

2. Ni biashara inayohitaji mtu asiyekata tamaa haraka na aliyeweka moyo, akili na nguvu zake zote humo.

3. Mbali na kucenjua dhahabu yenyewe, kuna fursa nyingi sana zimezunguka wachimbaji wadogo mfano kuuza mercury, kuuza vyakula, mafuta/petroli kwaajili ya crusher nk
Ukiwa na mtaji mdogo inatakiwa uanze na biashara ya kutafuta duara, ukibahatisha kupata duara unaweza pata Marudio ya bei nafuu Kisha mambo yanaenda Vizuri
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]!eti kanda ya ziwa...hahha...boss wangu tunahangaika !alhamudulilah...ile ishu naomba nikirudi nikuchek..vip ile mambo imefika mizamo mingap? Nije[emoji28]
Nipo 10 meter (7 mizamo), kwa sasa natafuta timba nianze kufunga, safari yangu ni 22 mizamo au (32meter). Before Xmas natakiwa nianze production. Njoo unizamini matimba tajiri
 
Nipo 10 meter (7 mizamo), kwa sasa natafuta timba nianze kufunga, safari yangu ni 22 mizamo au (32meter). Before Xmas natakiwa nianze production. Njoo unizamini matimba tajiri


Hongera sana..umekimbia...boss matimba hapana hhhaa..ww uko gado nakufahamu...!matimba shughuli yake pevu
 
[emoji28][emoji28]aisee...acha kebehi mzee boss...eti tajiri[emoji1787]...!lakini ntakuja...si maduara yako mengi??nisimike gest mie![emoji41]
Maduara mawili tu nashusha mwenyewe lakini ninalamani ya uhakika ya Utajiri hapo. Andaa ramani ya gest. Kunamukanda wa nyanda 24 wenye ppm 20
 
Back
Top Bottom