Wekeza kwenye uchimbaji wa dhahabu kwa mtaji wa Tsh. milioni 60

Maduara mawili tu nashusha mwenyewe lakini ninalamani ya uhakika ya Utajiri hapo. Andaa ramani ya gest. Kunamukanda wa nyanda 24 wenye ppm 20


Awww! Yaan ww hatari tupu..sema tu mie ni kakismart nitafata nyayo zako..sema ninataka kujitwist kidg kivingine!..hongera tuombeane heri tu!
 
Kikubwa mtaji mzuri. Utaalamu na weredi wa kutosha.
Ila nako
Unaweza toboa au ukafirisika kabisa
 
Mimi nauliZa hivi mercury nyekundu dumu mojaa inawez kuwa bei gani hii kitu nipambana sana kuipata ila now naogap kulizwaa msaada

Hakuna proof yoyote kuwa kuna red mercury
Mkuu huwa wanadanganyana kuwa ukipata kichupa kama cha dawa ya sindano umeula
Sasa wewe unaongelea dumu kabisaaaa
 
Mkuu itakuwa bora kwanza ufike eneo la tukio uone hali halisi. Ila kama unaweza supply zile gunia za katani siyo jute huku ni deal sana maana ndizo zinatumika kutoa mawe shimon na zinauzwa hadi 8000 iwe used or mpya
Vipi suppy ya vile viroba vya kubebea mawe?

Gunia za katani zinaweza kuisha ngapi kwa week kwa makadirio?
 
Mkuu naomba nikupm
Unanunuaje mawe bila kuyapima? Hufanyi kwa kubahatisha ila unafanya baada ya kuyapima. Hasara tuliyokula ni mara moja tena ni kwasababu ya kuacha mtu aninunulie mawe akaniongopea
 
Huuu uzi wa Wanga.
Kazi za Madini hapa Tanzania zinahusisha Kafara sana. Huko Kahama, Geita, Chunya, Musoma na Tarime ni mwendo wa kuzindika Tumigodi tyao au Marundo yao na Viungo vya Binadamu. Sitaki kukumbuka mauaji ya Wanawake na kuondoa Kiungo tekenyu. Mlaaniwe kabisa nyie mnaotafuta Utajiri kwa kuondoa Uhai wa Binadamu wengine manina zenu mtakufa kwa laaana, hapa mnabana pua ooooh Mercury kumbe wanga wakubwa nyie.
 
Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…