Wekundu wa Msimbazi: Unamkumbuka yupi hapo?

Wekundu wa Msimbazi: Unamkumbuka yupi hapo?

Namuona fundi wa mpira ambaye Mwenyezi Mungu alimpa talanta kubwa sana na maridhawa ya kusakata kabumbu ila ujanja, uhuni na kukosa washauri sahihi kulimpoteza katika soka!

Huyo si mwingine bali ni Haruna Moshi Shabani Mawela Boban.
Mmoja kati ya wanasoka bora kuwahi kutokea nchini Tanzania.
fcb6aecbeebbc2506638069fcbbd6211.jpg
 
Back
Top Bottom