Welcome freshers Mwenge University At Aventures Club Moshi 25/10/2013

Najiandaa kuja kuchukua demu mmoja mkali wa MWENGE muanze kuniita shemeji
 

Njooni mnipitie hapa RAU
 

asante mkuu tunakuja si unajua si ndio wa usika wenyewe.
 
Nipo ndani ya ukumbi wa aventure ,naona wasanii wao wanaperfom kwenye stage hahahaa jamaa wanajitahidi sana
 
Uje na papuchii za Muccobs,tubadilishane kuna first wa kutosha tu.ila ukibambia papuchii za watu utaumia.

Hahahaha nishakamata mtoto/demu wa MWENGE anzeni kuniita shemeji
 
mwuce mnazingua bana,mnawapeleka freshers kwenye ukumbi wa sendoff badala muwapeleje clab,?alafu badala waziri wa elimu awaze kuhusu mikopo ya wanafunzi anawaza sendoff,makailo kabisa,mdogo wangua anapata shida hapo na hana mkopo,
 
mwuce mnazingua bana,mnawapeleka freshers kwenye ukumbi wa sendoff badala muwapeleje clab,?alafu badala waziri wa elimu awaze kuhusu mikopo ya wanafunzi anawaza sendoff,makailo kabisa,mdogo wangua anapata shida hapo na hana mkopo,

Waziri yupi kawambwa au mulugo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…