Welcome to Karumaindo Bar... Kaaazi kweli kweli aisee!!!

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
14,630
Reaction score
4,253
THE BAR NOTICE OF 2012!!! Spotted at
KARUMAINDO BAR in Othaya.

1. Ukifanya order, unaturia,usishide umekubusha waiter, yeye ni mutu mzima anakubuka.

2. Ukirewa urewe peke yako, usianze kuiba nyibo za Kigooco huku. Ukitaka kuiba eda crusade.

3. Huku hakuna dance floor. Kwa hivo usika dance huku, hii ni bar, sio carnivorous (Carnivore)

4. Urinal ziko. Kukonjoa ni sawa. Ukitaka hanja kubwa,mariza fobe yako uede ukakumie kwako. Huku hakuna choo. Tunauzaga fobe si Ugari.

5. Kufugia waiter jicho uwache. Unamfugia jicho kwani umeskia ni daktari wa macho.

6. Ukinunuria waiter pobe, sio kumaanicha ati utaeda na yeye kwako. Ako hapa kuuza fobe, sio kuuza mwiri, mununurie na uede.

7. Kumwaga mwaga fobe kwa meza tumekataa! Urinunua ukunywe ama umwage?

8. Huku hakuna Maraya. Ukitaka maraya kuja na wako, na akuwe maraya anaereweka tafathari.

9. Wakati Mike Rua ama Salim Junia anaiba, tafathari usiibanishe na yeye. NYAMAZA watu warikuja kusikiza Rua, sio wewe. Ukitaka kuiba, tuabie tukutafutie Saturday yako.

10. Kushika shika waiter ------ ni hatia! Shika ------ yako, huku si bedroom.

11. Maneno ya CORD na JUBILEE perekeni Fesbuk. Sio hapa!

12. Kuwekewa mchere kwa fobe si kitu kubwa, ukiwekewa, unaitoa na unaederea na Fobe yako kama kawaida.

13. HAKUNA kurara kwa Meza! Meza sio kitada. Kama umerewa, eda ukarare kwako.

14. Ukiibiwa pesa eda ukastaki kwa borithi, si ati ukuje kusubua Manager.

15. Tip ni razima! Kama pesa yako haitoshi ya tip, nunua pobe take away ukakunywie kwako.

16. Huku hakuna bouncer! Rakini ukireta nyokonyoko tutakunyorosha kama Mukora.

17. Usitapike huku. Hii ni Bar, sio Clinic ya Watoto. Unatapika kwani uko na Miba??

By Management.
 
This is serious offence!

7. Kumwaga mwaga fobe kwa meza tumekataa! Urinunua ukunywe ama umwage?
 

Unaonekana unatokea pande ya Nyeri pale Kenya.

 
Dah. Nimekumbuka mbali sana aisee.

Mukurwe-ini.
 
Ab-Titchaz, obviously the management couldnt have been serious with this.
I mean, such silly rules and regulations written in bad Kiswahili like that...:lol:

Sumbody waz obviously having a laugh with this :lol: :lol:
 
Last edited by a moderator:
15. Tip ni razima! Kama pesa yako haitoshi ya tip, nunua pobe take away ukakunywie kwako.

nnimependa hii.
 
Dah. Nimekumbuka mbali sana aisee.

Mukurwe-ini.
Nimestuka kuona jina Mukurwe-ini hapa.Kwa bibi huko,ulikuwa lini huko?Kiswahili ni shiida Mukurwe-ini.Utaskia wakisema.'Wezi marikuja,makabeba mang'ombe na mambuzi zetu.Makatupiga sana,na marikuwa mamekunywa fobe migi.Ahh,nimeshoka sana,nimeeda kujioga!'Haha!
 
Mhhh... hiyo bar ni jipu, linahitaji kutumbuliwa kwa kweli. Lol!...
 
Nimecheka sana
Hivi ile baa alikua anaenda Whispers na Crocodile Maddo bado ipo
@Ab -tichaz
 
Hiyo bar ni jipu lililoiva ni kulitumbua tu hakuna namna
Hiyo bar kiboko!
 
Ab-Titchaz
Hili tangazo nililikumbuka sana siku ya krismas iliyopita nilijumuika na marafiki zangu kwenye baa moja maarufu sana hapo sinza.
Baada ya kitambo rafiki yangu mmoja alizidiwa na urabu na kuanza kuwahamara wahudumu ambao walikuwa wanatuhudumia. hali hii iliniembarass sana na nilijaribu kumwambia rafiki yangu kuwa wahudumu wanastahili staha na kama anataka kumtongoza basi iwe kwa staha lakini hakuni sikiliza na matokeo yake ni kwamba baada ya kushindwa kustahmili hali hiyo akampiga kibao kimoja kitakatifu. Jamaa alihamaki akataka kumpiga yule muhudumu tukamzuia asifanye hivyo. Nililikumbuka sana tangazo hili ambalo linakuwekea mipaka iwapo upo kwenye baa ya Karumaindo na nadhani linawafaa wanaume wote tuendao baa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…