Welcome to Mbeya University of Science and Technology

Welcome to Mbeya University of Science and Technology

Lazma tukubali kwamba english is not our mother tongue, haya mambo yakutafuta perfection kwenye lugha ya watu sioni tija yake lengo kubwa la lugha ni kuelewana sa wewe unakuta ushaelewa ujumbe afu unaanza kutafuta perfection haina maana, we mwenyewe nkikuambia u paraphrase hii thread bado unaweza ukakosea mbele ya wanaujua zaidi,

Kama unajua kuwa huwezi kuwa perfect kwenye lugha ya watu usitafute kisingizio; waache wenzio ambao wanaweza kuwa perfect hata kwenye lugha za watu na wewe ujikite kwenye lugha ya kwenu ambayo unaamini utakuwa perfect!!!
 
Kama unajua kuwa huwezi kuwa perfect kwenye lugha ya watu usitafute kisingizio; waache wenzio ambao wanaweza kuwa perfect hata kwenye lugha za watu na wewe ujikite kwenye lugha ya kwenu ambayo unaamini utakuwa perfect!!!

Vp kwa wanaojifunza? Hawana haki ya kueka uzi kwa sababu hawajui vizuri?
 
Ndio matatizo ya nyie mliosoma hizi shule zenu za kata , hantaki kuambiwa ukweli ' The truth will set you free"! Mnapoambiwa ukweli mnasingizia kuwa ni majungu, sasa hapo kuna majungu gani mtu anapokukosoa na kukushauri ili uboreke? Mimi kingereza nakijua kwani nilisoma wakati huo secondary schools zilikuwa na "FORMS" na sio nyinyi mliosoma wakati wa "VIDATU"!!! Do not look for lame excuses. Usanii waachieni wanasiasa wenu ambao wao wanajali wingi wa vyuo visivyokuwa na viwango badala ya kuwa na vyuo vichache vyenye viwango!!!
Sasa si useme amekosea wapi siyo kuleta mbwembwe Hapa
 
Ndio matatizo ya nyie mliosoma hizi shule zenu za kata , hantaki kuambiwa ukweli ' The truth will set you free"! Mnapoambiwa ukweli mnasingizia kuwa ni majungu, sasa hapo kuna majungu gani mtu anapokukosoa na kukushauri ili uboreke? Mimi kingereza nakijua kwani nilisoma wakati huo secondary schools zilikuwa na "FORMS" na sio nyinyi mliosoma wakati wa "VIDATU"!!! Do not look for lame excuses. Usanii waachieni wanasiasa wenu ambao wao wanajali wingi wa vyuo visivyokuwa na viwango badala ya kuwa na vyuo vichache vyenye viwango!!!
hapo kwenye red "VIDATU" ndo nini? inasikitisha na wewe hapo hujui lugha yako ya taifa
 
Lazma tukubali kwamba english is not our mother tongue, haya mambo yakutafuta perfection kwenye lugha ya watu sioni tija yake lengo kubwa la lugha ni kuelewana sa wewe unakuta ushaelewa ujumbe afu unaanza kutafuta perfection haina maana, we mwenyewe nkikuambia u paraphrase hii thread bado unaweza ukakosea mbele ya wanaujua zaidi,

At university level you must have that perfection! A university graduate should be able to communicate with any other person who knows English. These are the people we depend to understand what is written in contracts which companies enter into with other entities.

This is very pathetic for a country which boasts that our children start learning English from Standard 3 and English is used as the medium of communication for all non-language subjects in all secondary schools. After all, if these students cannot master something which they have learned for so many years how sure can we be that they master the other courses such as Physics, Chemistry, etc. which are offered in English?
 
At university level you must have that perfection! A university graduate should be able to communicate with any other person who knows English. These are the people we depend to understand what is written in contracts which companies enter into with other entities.

This is very pathetic for a country which boasts that our children start learning English from Standard 3 and English is used as the medium of communication for all non-language subjects in all secondary schools. After all, if these students cannot master something which they have learned for so many years how sure can we be that they master the other courses such as Physics, Chemistry, etc. which are offered in English?

With this explanation you convince me and i admit you are right..
 
  • Thanks
Reactions: KVM
Kama huyo " moto nkali" ni mwalimu wa hiyo Mbeya University of Science and Technology basi that says alot about the quality of education that is offered there!!! Kingereza chake kibovu sana. Vice Chancellor wenu kwavile ni mtu wa huko huko kwenu ajitahidi kukiimalisha chuo!!
I would bet you are mistaken!!

Kwani kujua kiingereza kwa ufasaha ndio kipimo cha ubora wa elimu?, au kiingereza ndio elimu?
Hicho chuo ni cha Engineering, hakuna masomo ya lugha pale, unategemea wajue kiingereza kwa ufasaha?
 
I would bet you are mistaken!!

Kwani kujua kiingereza kwa ufasaha ndio kipimo cha ubora wa elimu?, au kiingereza ndio elimu?
Hicho chuo ni cha Engineering, hakuna masomo ya lugha pale, unategemea wajue kiingereza kwa ufasaha?

hata mimi nipo irrigation engineering mwaka Wa tatu now but English Niko shallow balaaa
 
Back
Top Bottom