Weledi wa vita vya Urusi na Ukraine naomba mnieleweshe

Weledi wa vita vya Urusi na Ukraine naomba mnieleweshe

Kaselele

Senior Member
Joined
May 19, 2022
Posts
171
Reaction score
476
Ninavojuwa kabla ya kundi la Wegner kuanzisha uasi walikuwa ndio wahusika wakuu wa vita katika jimbo la Bakhmut na ndio ambao walikuwa wanalishikilia jimbo hilo.

Sasa najiuliza: je, waliamua kuondoka kwenye jimbo hilo na kuliacha kwa wenyewe Ukraine? Au ni mchezo wa kuigiza tu ambao ulikuwa na lengo la kuwaleta askari zaidi katika jimbo la Rostov ili waweze kuivamia Ukraine kutokea huko?

Wataalamu wa vita hivi naomba mnieleweshe zaidi.
 
ulishawahi kwenda airport. na.kuona zile Boeing zinavyojiandaa kuruka
 
Ninavojuwa kabla ya kundi la Wegner kuanzisha uasi walikuwa ndio wahusika wakuu wa vita katika jimbo la Bakhmut na ndio ambao walikuwa wanalishikilia jimbo hilo.

Sasa najiuliza: je, waliamua kuondoka kwenye jimbo hilo na kuliacha kwa wenyewe Ukraine? Au ni mchezo wa kuigiza tu ambao ulikuwa na lengo la kuwaleta askari zaidi katika jimbo la Rostov ili waweze kuivamia Ukraine kutokea huko?

Wataalamu wa vita hivi naomba mnieleweshe zaidi.
Mkuu uweleweshwe nini?? Hiyo sio vita ni operation ya kuttokomeza ugaidi
 
Ninavojuwa kabla ya kundi la Wegner kuanzisha uasi walikuwa ndio wahusika wakuu wa vita katika jimbo la Bakhmut na ndio ambao walikuwa wanalishikilia jimbo hilo.

Sasa najiuliza: je, waliamua kuondoka kwenye jimbo hilo na kuliacha kwa wenyewe Ukraine? Au ni mchezo wa kuigiza tu ambao ulikuwa na lengo la kuwaleta askari zaidi katika jimbo la Rostov ili waweze kuivamia Ukraine kutokea huko?

Wataalamu wa vita hivi naomba mnieleweshe zaidi.
We subiri watu wanashangaa hii war strategy siku si chache Wegner itawagonga Ukraine mpaka wajute
 
We subiri watu wanashangaa hii war strategy siku si chache Wegner itawagonga Ukraine mpaka wajute
Hata mimi hii imenijia alilini.

Yaani Putin amemfunga jela miaka 15 mpizani wake wa kisiasa Alexei Navalny, alaf kirahisi rahisi amsamehe mtu alietangaza uasi na kutishia utawala wake??

Bado naona kama kuna mchezo fulani hivi wa kuigiza.
 
Back
Top Bottom