"We'll continue seeing each other" Maneno Ya Triple C, Clatous Chota Chama

"We'll continue seeing each other" Maneno Ya Triple C, Clatous Chota Chama

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari Wanazengo.
Kwenye Paragraphs kuna mstari unaitwa "bottom line" huo mstari katika paragraph yeyote ndio ubeba lengo la paragraph nzima.

Sasa Mwamba wa Lusaka Clatous Chota Chama kwenye Paragraphs ya mwisho kabisa bottom line ameandika maneno haya "We'll continue seeing each other" kwa Wanamsimbazi wanaosema jamaa ndio mwisho wa era, sas maneno ambayo ukiyasoma kwa utaalamu na maarifa unaelewa nini amekusudia nini kufanya.

Wanamsimbazi Wamatopeni Koloulizdad jiandaeni ki-psychologia kwenye hilo hayo maneno yanaujumbe mzito sana kwenu.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
-1879795822.jpg
 
Habari Wanazengo.
Kwenye Paragraphs kuna mstari unaitwa "bottom line" huo mstari katika paragraph yeyote ndio ubeba lengo la paragraph nzima.

Sasa Mwamba wa Lusaka Clatous Chota Chama kwenye Paragraphs ya mwisho kabisa bottom line ameandika maneno haya "We'll continue seeing each other" kwa Wanamsimbazi wanaosema jamaa ndio mwisho wa era, sas maneno ambayo ukiyasoma kwa utaalamu na maarifa unaelewa nini amekusudia nini kufanya.

Wanamsimbazi Wamatopeni Koloulizdad jiandaeni ki-psychologia kwenye hilo hayo maneno yanaujumbe mzito sana kwenu.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu View attachment 3032340
We'll continue seeing each other as friends not enemies, though when it comes to business, as rivals
 
Habari Wanazengo.
Kwenye Paragraphs kuna mstari unaitwa "bottom line" huo mstari katika paragraph yeyote ndio ubeba lengo la paragraph nzima.

Sasa Mwamba wa Lusaka Clatous Chota Chama kwenye Paragraphs ya mwisho kabisa bottom line ameandika maneno haya "We'll continue seeing each other" kwa Wanamsimbazi wanaosema jamaa ndio mwisho wa era, sas maneno ambayo ukiyasoma kwa utaalamu na maarifa unaelewa nini amekusudia nini kufanya.

Wanamsimbazi Wamatopeni Koloulizdad jiandaeni ki-psychologia kwenye hilo hayo maneno yanaujumbe mzito sana kwenu.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu View attachment 3032340
Go Chama! Go Chama! We will never forgive....! Sorry! Forget you!! Alisema shabiki mmoja lia lia wa Simba.
 
Wana Lunyasi tulishaufunga Ukurasa unaoitwa CHAMA......!

Sisi ukituuliza Chama nini tutasema ni chama cha Siasa...! Kama CCM, CDM n.k
 
Lunyasi ni zamu yenu kuteseka kama mlivyoyutesa kwa mayele mlitujaza upepo mpaka tukaona hatuwezi bila yeye ila ndo mwaka tumefanya makubwa sana kwahiyo jishikilieni yatapita mtasahau
 
Back
Top Bottom