JEMEDARI .H.
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 341
- 54
Wakuu si mara ya kwanza kuweka wazi hili,naomba nirudie tena kusema kuwa Wema nampenda,kwani nimekuwa nikimtumia ujumbe kwenye akaunt yake ya facebook na baruapepe yake bila mafanikio(bila majibu) kwa hiyo naomba ushauri/msaada wenu.
Wakuu si mara ya kwanza kuweka wazi hili,naomba nirudie tena kusema kuwa Wema nampenda,kwani nimekuwa nikimtumia ujumbe kwenye akaunt yake ya facebook na baruapepe yake bila mafanikio(bila majibu) kwa hiyo naomba ushauri/msaada wenu.
Says who? jipatie mke/demu ,kwepa kutoa huduma uone jinsi utakavyopigwa chini!I said whetever,wherever and whenever mimi nampenda,namtamani na namtaka kwani mapenzi si pesa.
kwann unampenda?
umeanza lini kumpenda?
unahitaji nini toka kwake?
Acha upumbavu wewe! mtumie pesa kwenye akauunti yake ya benki bwana sio ujumbe kwenye akaunti yake ya facebook! ingekuwa hivyo watu wangekuwa na wapenzi kuanzia elfu++!
Nakwambia hiki kijitu hakitaki demu ila kinataka tukijue tu -aende tu pale full loaded aone kama hajaitwa honey!tena amtafute akiwa na pay in slip mkononi yenye figure nzuri, chezea wadada wa mujini wewe
Sasa sie inatuhusu vipi?Nampenda kwa kuwa ni mzuri na nafsi yangu inaridhika na yeye,Pia nimempenda tangu siku nying na nimejizuia hadi sasa nimeona niweke wazi na kwake yeye nahitaji mapenz,mahaba na kuwa nae kimaisha.