Wema acha roho mbaya

Wema acha roho mbaya

Wema kawa mchepuko.....ndio habari insta hukoooooo
 
Atasamehe muda ukifika msamaha haulazimishwi kamwe ingawa kujiapiza hivyo si busara sana pia
 
Katika gazeti la leo la Mwanaspoti 29/05 huyu Wema ametoa kauli za ajabu kabisa kuhusu Kajala.

Anasema hatokaa kumsamehe katika maisha yake yote na hata akifa Kajala asisogelee kaburi lake.

Jamani sasa huyu mama roho mbaya anapoelekea anahitaji kusaidiwa na wataalam wa masuala ya jamii/mahusiano.

Unakuwaje na hatred mbaya namna hii kwa binadamu mwenzako...!!?? Ugomvi wenyewe ni wa kuporana mwanaume ambaye ni MUME wa mtu.

Msaidini huyu Wema jamani na nafikiri sasa asiitwe tena hilo jina lake la Wema awe anaitwa CHUKI.

Vipi zile million 13alizozitoa wakati ule umezisahau?ungekuwa wewe ungeweza?mwacheni jamani Wema apumzike,mwacheni afanye anavyoweza.
 
Wema bana yaani habari kama hizi ndio zinamuweka mjini

Jina kuuuuubwa kakalia kufanya upuuzi tu badala ya ku make mahela ya maana
Na hizi team zake zinamuharibu sana wema hajijui
Wema anathamani kubwa mmno laki amekalia kuendeshwa na mateam ushenzi tu
 
Ambaye uwa anachukuliwa mpenzi wake hata kama ni mchepuko na akasamehe! Ajitokeze! Anatska msamaha ili iweje? Aje kumnyang'anya bwana mwingine? Sh#n÷i type!!!! Mphssssssyyyyhhh!
 
Back
Top Bottom