lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
lukelo sakafu subiri waje wakuvishe sketi...!
na waje tu
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lukelo sakafu subiri waje wakuvishe sketi...!
We jamaa uko na problem kwa head..
jamani habari ndio hiyo WEMA kaolewa tayari na anaishi na mume wake kwa sasa lakini MONDS bado anaangaika na wanawake kila siku mara sijui ZARI ambae ana watoto kibao na tunajua hawawezi kufunga ndoa zaidi ya porojo kibao. sasa yeye ndie alimuacha wema lakini mwenzake tayari kaolewa(cha nini wakati wenzako wanawaza watakipata lini) lakini yeye yuko mara kule mara sijui zari white party swaga kibao. sasa hapa kwa upande wako nani mjanja hapa?
Hakuna kitu kinachomfurahisha mwanamke duniani kama siku ya HARUSI tena ukiwa na mumeo ukijidai nae kwenye mipicha kila kona!
Umeolewa halafu unamficha mumeo hutaki watu wamjue??hii kali ya mwaka!!ltena ndoa ya kwanza hutaki kumuonyesha mumeo!!ahahhaa.
Kuachwa kubaya sana aisee yaani unaweza ukafanya mambo ya ajabu sana wakati ungekuwa katika hali ya kawaida huwezi kufanya wallahi!!
Wema mdogo wangu huwezi kushindana na wanaume hata siku moja
Huyu ndo nifah,
Asante kwa kutujuza.
How old are you?
anaehangaika nani sasa? wema ndo anatabu na maisha yake. mtu unaolewa halafu unaficha ili iweje? mixer anaamini ushirikina.
soon bidada atavaa hirizi.
yaan waogopa kufanya yako kisa juju looohhh. mwenzie diamond anafanya yake tu kwa raha zake.
halafu diamond baada ya kuachwa na wema ndo akaenda kwa zari.
dawa yenu kutapika tu maana ndimu zimeshawazoea teh teh
10 years old
Mama nae nasikiq ni mpenzi wa ile team Serengeti boys😕
jamani habari ndio hiyo WEMA kaolewa tayari na anaishi na mume wake kwa sasa lakini MONDS bado anaangaika na wanawake kila siku mara sijui ZARI ambae ana watoto kibao na tunajua hawawezi kufunga ndoa zaidi ya porojo kibao. sasa yeye ndie alimuacha wema lakini mwenzake tayari kaolewa(cha nini wakati wenzako wanawaza watakipata lini) lakini yeye yuko mara kule mara sijui zari white party swaga kibao. sasa hapa kwa upande wako nani mjanja hapa?
Itakua ni scene ya movie yake labda
Halaafuu. ..mnaoshangaa wema kuolewa why? Ha deserve? Aishije sasa?
Mmh hii ndoa au kiini macho maana hata martin hajapiga pic hata viatu sijui
Maana juzi kusaini ubalozi wa hospital mpya ya macho matangazo kila kona insta mpaka kizunguzungu hili kulikoniiii
Hongera yake.