Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

anaehangaika nani sasa? wema ndo anatabu na maisha yake. mtu unaolewa halafu unaficha ili iweje? mixer anaamini ushirikina.
soon bidada atavaa hirizi.
yaan waogopa kufanya yako kisa juju looohhh. mwenzie diamond anafanya yake tu kwa raha zake.
halafu diamond baada ya kuachwa na wema ndo akaenda kwa zari.
dawa yenu kutapika tu maana ndimu zimeshawazoea teh teh
 
jamani habari ndio hiyo WEMA kaolewa tayari na anaishi na mume wake kwa sasa lakini MONDS bado anaangaika na wanawake kila siku mara sijui ZARI ambae ana watoto kibao na tunajua hawawezi kufunga ndoa zaidi ya porojo kibao. sasa yeye ndie alimuacha wema lakini mwenzake tayari kaolewa(cha nini wakati wenzako wanawaza watakipata lini) lakini yeye yuko mara kule mara sijui zari white party swaga kibao. sasa hapa kwa upande wako nani mjanja hapa?

How old are you?
 
Hakuna kitu kinachomfurahisha mwanamke duniani kama siku ya HARUSI tena ukiwa na mumeo ukijidai nae kwenye mipicha kila kona!

Umeolewa halafu unamficha mumeo hutaki watu wamjue??hii kali ya mwaka!!ltena ndoa ya kwanza hutaki kumuonyesha mumeo!!ahahhaa.

Kuachwa kubaya sana aisee yaani unaweza ukafanya mambo ya ajabu sana wakati ungekuwa katika hali ya kawaida huwezi kufanya wallahi!!

Wema mdogo wangu huwezi kushindana na wanaume hata siku moja

Hapo sasa.Huyu ana lake zitooo kuliko maelezo.
Wema huyu tunayemjua sisi au yupi wa kuficha kitu?
 
Sakafu mwambie basi apange party kama ya kesho ndio tutajua mjanja nani?

Duh leo umekunwa juu ya Diamond na Zari hauongelei muziki tena unaongelea Boss Lady wa EA na nani wa vigodoroooo?
 
anaehangaika nani sasa? wema ndo anatabu na maisha yake. mtu unaolewa halafu unaficha ili iweje? mixer anaamini ushirikina.
soon bidada atavaa hirizi.
yaan waogopa kufanya yako kisa juju looohhh. mwenzie diamond anafanya yake tu kwa raha zake.
halafu diamond baada ya kuachwa na wema ndo akaenda kwa zari.
dawa yenu kutapika tu maana ndimu zimeshawazoea teh teh

Ndimu Ndimu hata kwa Millard Ayo hajajibu vizuri kama kaolewa au laaaaa....kajibu kutafuta attention kabla ya kesho na naamini kamuomba Millard amuhoji leo...ila kachelewa angesubiri baada ya kesho...ndimu ndimu zimeisha magengeni.

Hivi angekaa kimya na kufanya yake nani angemsema maana wadau wanammwagikia hadi anakuwa mdogo mdogo na timu yake wanakopi picha kudanganya....
 
jamani habari ndio hiyo WEMA kaolewa tayari na anaishi na mume wake kwa sasa lakini MONDS bado anaangaika na wanawake kila siku mara sijui ZARI ambae ana watoto kibao na tunajua hawawezi kufunga ndoa zaidi ya porojo kibao. sasa yeye ndie alimuacha wema lakini mwenzake tayari kaolewa(cha nini wakati wenzako wanawaza watakipata lini) lakini yeye yuko mara kule mara sijui zari white party swaga kibao. sasa hapa kwa upande wako nani mjanja hapa?

Acha uongo Wema akimuacha ili aende kutoka na babu ambaye hawezi kuonekana nae in public. Sasa babu kumbe chumvi.....

Majuto teleeeeeeeeeeeee

Zari hakunaga....

Ndio wanawake wajifunze kwake eti D hana nyota kumbe akikuwa yeye hana.
 
Nani angempiga juju waache kumpiga Zari apigwe yeye....kimenukaaaaaa
 
Mtu ukiolewa unajivunia kuongelea ila leo kaongea kiuoga kuwa kaolewa so anatafuta kiki tu bora angejinyamazia na kuacha kusaka interviews

Bado hawezi kufunika kesho

BMW ya babu tamu kuendesha...babu babu huyooooooo ndoa mmmhhhh ikiwa basi mke wa 10.
 
Mmh hii ndoa au kiini macho maana hata martin hajapiga pic hata viatu sijui
Maana juzi kusaini ubalozi wa hospital mpya ya macho matangazo kila kona insta mpaka kizunguzungu hili kulikoniiii

Siku wanarusha picha za eti tangazo sijui movie sijui ndoa, Martin alipiga akiwa nje ya nchi...haya tutasubiri kuona raha ya ndoani ya mkataba kuriwaza roho.
 
Back
Top Bottom