Wema afunguka kilichomdatisha kwa Diamond..

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mwenyewe amekiri Mara kwa Mara kumzimikia mwana muziki wa kizazi kipya, Diamond platnums na kusema ndiye mwanaume anayemzimikia kuliko mwanaume yeyote, na ndiye mwanaume anaye wish kuwa husband wake apo badae.
Wema: ilitokea tu nikajikuta nimempenda nassib(diamond), na nilijikuta nimezama kwake, wakati mwingine ni vigumu kusema mtu uliyenaye alikuvutia kitu gani, unajikuta tu unampenda
 
Kweli safari hii warumi umerudi kwa speed 120Km/h.

Ahsante kwa taarifa.
 
Last edited by a moderator:
Azidi kuosha rungu tu na atanyoa mno safari hii mawigi ya brazili domo hanunuii tenaa hahhhhhahhha
 
Huyu jamaa anayeitwa warumi anasaidia sana hakuna haja ya kununua gazeti...
 
Huyu jamaa anayeitwa warumi anasaidia sana hakuna haja ya kununua gazeti...

kweli kabisa nospah, money stunna pamoja na warumi wamenifanya nisinunue magazeti ya udaku siku hizi nasoma hichwa vya habari kisha natembea na yesu
 
Azidi kuosha rungu tu na atanyoa safari hii mawigi ya brazili domo hanunuii tenaa hahhhhhahhha
Ataisoma namba namba si anasemaga tuwaache walale maninaa washafuliaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…