Wema afuturisha,aweka rekodi..

Ko kwenye dini umalaya unaruhusiwa,ufisadi, uchawi,utapeli unaruhusuwa make naona wachafu wa aina hiyo wanakimbilia kwenye dini


Ukitaka kupitisha upumbavu na upuuzi wowote ule basi nukuu vitabu vya Dini....my Hero Kiranga
 
Hivi hata kiwa haujafunga unaruhusiwa kufuturisha? Je mkristo naye anaruhusiwa kufuturisha? Kuna jamaa yangu mkristo yupo kwenye maandalizi ya kufuturisha.
ni hivi ndugu yangu kufturisha ni sadaka tu na sadaka ipo dini zote na pia naweza kukupa ushauri kidogo endapo unaitaji kufturisha jitaidi kupata wale watu wasiojiweza kabisa ukajua hawa watu wanafunga lkn ftari yao ya shida unaruhusiwa kuwafuturisha hata kila siku kwa mwezi mzima wa ramadhan inategemea na uwezo wako ni ivyo tu mpendwa, nb: kwa hao wanaofuturisha wauza sura ni sawa na hakuna tu y usiende kuwafuturisha wenye hali duni wakasema asante na mungu ikamfikia zaidi kuliko hao wauza sura tujirekebishe binaadamu sisi kwa mungu wote ni sawa tu hakuna ataezidi mwenzie.
 
Huu mwezi "Caterers" wana-make bingo sana, kwani kila kona ni kufuturishana tu...
 
hapana kaka ila ukweli ni kwamba kuna makatazo pia ndomaana kuna waislam jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…