Wema afuturisha,aweka rekodi..

Wema afuturisha,aweka rekodi..

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,786
Reaction score
5,963
ikiwa ni wiki chache tangu DIAMOND afuturishe nae WEMA SEPETU AMEFANYA HIVOHIVO..

hii inatafsiriwa kua ni ushindani baridi uliopo kati yao ambao haswa WEMA ndio anaeuendeleza..

hii inaonekana ni style mpya ya mastaa kutakia umaarufu kipindi hiki cha mfungo..

WEMAFUTARI1.JPG
Wema Sepetu akiwa na baadhi wageni waalikwa wakiomba dua



WEMAFUTARI3.JPG

Kutoka kulia ni mbunifu maarufu wa mavazi, Khadija Mwanamboka, Rehema na mtangazaji maarufu wa Magic Fm Mishi B nao wakiomba dua.

WEMAFUTARI4.JPG
Msanii Snura Mushi 'Mama Majanga' (kati) akila tende na mashosti wake muda mfupi kabla ya kupata futari..


WEMAFUTARI5.JPG
Maanjumati yakiandaliwa.



MUNGU AWALAANI WOTE WANAOTUMIA MWEZI HUU KUPATA SIFA,NA AWABARIKI WOTE WANAOUTUMIA MWEZI HUU VEMA..

 
Hivi hata kiwa haujafunga unaruhusiwa kufuturisha? Je mkristo naye anaruhusiwa kufuturisha? Kuna jamaa yangu mkristo yupo kwenye maandalizi ya kufuturisha.
 
Kwani wema.ni dini gani nanje amefunga na anatuhusiwa kidini kufuturisha au basi tu?
 
Hivi nini maana ya dini?? Siku nikipata maana ya dini ntakua muumini nafkiri
 
Hivi nini maana ya dini?? Siku nikipata maana ya dini ntakua muumini nafkiri

kwa mm ninavyojua dn ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadam ndo maana hata vitabu vitakatifu vifunza muumn uishi vp.
 
Ko kwenye dini umalaya unaruhusiwa,ufisadi, uchawi,utapeli unaruhusuwa make naona wachafu wa aina hiyo wanakimbilia kwenye dini
kwa mm ninavyojua dn ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadam ndo maana hata vitabu vitakatifu vifunza muumn uishi vp.
 
Dini ni saccos za kiimani ambazo hukuzwa na sadaka za waumini na kuwarahisishia maisha viongozi wa makanisa hayo.ndomyana
 
Dini ni saccos za kiimani ambazo hukuzwa na sadaka za waumini na kuwarahisishia maisha viongozi wa makanisa hayo.ndomyana

hapo nimekuelewa make kila muhuni skuizi anajifanya ni muumini safi huku wahuni wenzake wakimshangilia
 
Back
Top Bottom