na takko na hips atajutia baadae
Teh Teh Mwl umenichekesha sana ...m
Huyu sidhani kama kuna sehemu kasalimika manake!
Kila kitu fake isipokuwa hicho kipilipili kilichodunda kemikali za mzungu!
NB:I heard that mbele mwenyeji na nyuma mzoefu!
Mmmmmh ....
ndo hivo....
mie hayo madude sijawahi kubandika......
Bado macho yapofuke kabisa.Nilitaka kukuwekea picha ya aliyepofuka macho sababu ya kope za bandia nikaogopa maana inatisha sana!
....then be my partner. I love it