Wema amempongeza Kim Kardashian kwa kutumia Lipstic yake

Fantasizing at work [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kikii hiiii
 
Mnabisha nini, Kim Kardashian Bongo wapo kibao.
 
Aisee wabongo wengi wamekuwa haters kwa huyu dada kwa chuki na wivu tu......Wasichana nawaelewa coz ni kawaida yao kuwachukia wanaowazidi...Lakini kwa kidume ni jambo la ajabu sana....Ni mtu mmoja tu aliyeomba screenshot mpaka sasa..Wengi wamekimbilia kuponda na kudharau bila kujali kama ni taarifa ya kweli au Laa......Natamani sana huyu dada afanikiwe kuwafunga midomo haters ....And am sure one day she will.....
 

utakuwa kaka meneja Kadindisha
 
Huyo mtu aliyeomba hy screen shots katumiwa?au bd anasubiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…