July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Kikii hiiii
Mnyange na mfanyabiashara wa vipodozi jijini Dar es salaam amempongeza her American counterpart kwa kuweza kutumia bidhaa zake za midomo.Hali hiyo ilitokea baada ya Kim kuweka picha yake kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram ambapo Wema alikoment maneno haya huku akitumia hashtags kibao "Thank you sweetheart kwa kutumia bidhaa zangu #KissbyWema #TeamWema #MadamRange #TeamSonny #Wanawaketunaweza #huuMchezohauhitajiHasira #HapaKaziTu #MissTz2006 #BetAwards.
Mimi binafsi nampongeza kama ni kweli kavuka mipaka
Na ya Lemutuz itawekwa wapi?Tungeweka monument nyingine mwenge ama magomeni ya wema. Basi tu hatuabudu vipaji vyetu.
Na ya Lemutuz itawekwa wapi?
Aisee wabongo wengi wamekuwa haters kwa huyu dada kwa chuki na wivu tu......Wasichana nawaelewa coz ni kawaida yao kuwachukia wanaowazidi...Lakini kwa kidume ni jambo la ajabu sana....Ni mtu mmoja tu aliyeomba screenshot mpaka sasa..Wengi wamekimbilia kuponda na kudharau bila kujali kama ni taarifa ya kweli au Laa......Natamani sana huyu dada afanikiwe kuwafunga midomo haters ....And am sure one day she will.....
na lazima hiyo sanamu iwe na coffeeHilton Double Tree Hotel, kule kwa nyuma karibu na bahari, lol
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Sio kutafuta Kiki kweli???
Kuanza nini mkuu???[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Bro umeanza lini tena!!?
na lazima hiyo sanamu iwe na coffee
Huu uchambuzi [emoji3]Kuanza nini mkuu???
Huyo mtu aliyeomba hy screen shots katumiwa?au bd anasubiri?Aisee wabongo wengi wamekuwa haters kwa huyu dada kwa chuki na wivu tu......Wasichana nawaelewa coz ni kawaida yao kuwachukia wanaowazidi...Lakini kwa kidume ni jambo la ajabu sana....Ni mtu mmoja tu aliyeomba screenshot mpaka sasa..Wengi wamekimbilia kuponda na kudharau bila kujali kama ni taarifa ya kweli au Laa......Natamani sana huyu dada afanikiwe kuwafunga midomo haters ....And am sure one day she will.....