Heheheheheeee kisa cha kumcheka King wetu kua kafulia hadi anakopa amalizie nyumba?
Kumbe yeye alikua anakopa pia?Uwiiii ndio maana Wema kasepa maana alikua anakopwa hadi papuchi!
yaani dah tena ye kakopa vicoba focus hahaaaaaaa
tooo low
Hahahahaaaaa wema kaamua kufunguka tutasikia mengi sana.Huu ni mwanzo tu.Alianza na mimba leo mkopo...
What's next?Stay tune.....
Uwiiiiiii
atalalamika kuliwa kiboga
ohoo atafungua mashtaka ya kumdhalilisha kijinsiaMnnnhh shoga hili tusiliongelee hapa maana ni aibu!
Domo nae
Si amwambie zari amkopee kwa ivan
Hahahahs
Ngoja team zari na domo waje hapa
Ila milioni 10
Unaanza tu kumkopea mtu...... tena just kiboifrendi whoiiii hayo mahaba niachie madeni bado yapo siku hizi??????
Anyway huyu domo si ndio wanasema bilionea????
ohoo atafungua mashtaka ya kumdhalilisha kijinsia
Jamani wambeya wenzangu mlio IG ni kweli Wema alitundika picha akila denda na jibaba fulani kisha akasema,'nimekumiss mme wangu wewe ni kila kitu changu...',kuna gazeti linaitwa visa hapa limeweka iyo picha na habari kwamba mme wa huyo baba analalamika kuwa mume ameterekeza watoto!mhuuuu
Jamani wambeya wenzangu mlio IG ni kweli Wema alitundika picha akila denda na jibaba fulani kisha akasema,'nimekumiss mme wangu wewe ni kila kitu changu...',kuna gazeti linaitwa visa hapa limeweka iyo picha na habari kwamba mme wa huyo baba analalamika kuwa mume ameterekeza watoto!mhuuuu
Samahani mkuu unaijua bei ya murano???? Ile aliyopewa wema kwenye birthday????
Diamond huyu mwenye zaidi ya million 200 bank?
Wema ameishiwa sasa anahangaika namna ya kuendesha maisha yake;
Haiingii akilini diamond kukopa 10m/= za vikoba ili afanyie nini.
hiyo tabia ni common kwa ma boyfrendie karibu wote huwa ukimkopea utachora juu ya maji yaan akidaiwa anaona kama humpendi nakuleta ukali ukali utafikir hajui maana ya neno mkopo. tuache ushabiki kama alimkopesha hata mil 1 nishariti alipe sio mambo yakusema kaishiwa hapa kwahiyo kama hujaishiwa ndo utapanye mil. 10 hapana
Wema ameishiwa sasa anahangaika namna ya kuendesha maisha yake;
Haiingii akilini diamond kukopa 10m/= za vikoba ili afanyie nini.