Wema kapotezwa kabisa na Zari labda hii kick itamrudisha. Sasa hivi kila kona Zari Dsm mpaka Naii.
Hata anfepewa ghorofa bana
Utakopaje kwa ajili ya kiboyfrendi????
Sasa auze murano alipe deni (na hilo ndilo linalojulikana.....hatujui wema kakopwa vingapi hiiii)
Anyway murrano bei gani vile???
Alipe anayo sasa le super bilionea
Tatizo hawa wasanii wetu wanapenda kuishi maisha sio yao