Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Kama unampenda lazima umuamini...sasa kama unamuamini hayo maneno yatakubabaisha kweli?
Tuvute subira jamani...ukweli utajulikana tu
Nasikia dai bado anamfuataga penny chezea kuwadi halima kimwana...
Shigongo at work.........,
Hivi we umwamini mtu kama wema?
Inamaanisha haukuona uzi kama huu.