Wema anyang'anywa kila kitu, kisa kurudiana na diamond

Wema anyang'anywa kila kitu, kisa kurudiana na diamond

ZILE tambo, mbwembwe na majigambo ya Miss Tanzania 2006/07, aliye pia msanii wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu, zimefika mwisho kufuatia kunyang'anywa samani za ofisi yake ya Endless Fame Film Production na aliyekuwa mpenzi wake, Clement ‘kigogo wa ikulu' na sasa amebaki mweupe, Amani limepakuliwa ikiwa imeiva.
ZAIDI BOFYA HAPA:WEMA ANYANG'ANYWA KILA KITU, KISA KURUDIANA NA DIAMOND - Global Publishers

View attachment 132743

Unabeba mume wa mtu tena hadharani....aaaaaaaaaaaahhh hii hata Mungu hapendi, nahisi litakuja kubwa zaidi ya ilo,Ila simuombe baya aisee.
 
Back
Top Bottom