Wema aonyesha jeuri ya pesa nchini China


Tulambe ndimu mara ngapi...tushakuwa chronic na ndimu labda atuletee jik tunywe maana ukweli ni kwamba biashara hawezi ila ngoja tumvumilie
 

Maskini dai mwaka wake huu looh
 
Hahahahaha...dina unaniuaaaa...uwiii...kumbe. lolowapi ana pumbu???nilifikir anachuchumaa wakati wa kukojoa

Eeee ukimuona anavaa kikoi muda wote nahis ana busha lolowapi
Ndio nishasema hivyo(mrembo by nature's voice)
 
Last edited by a moderator:
Tulambe ndimu mara ngapi...tushakuwa chronic na ndimu labda atuletee jik tunywe maana ukweli ni kwamba biashara hawezi ila ngoja tumvumilie

Yaan ni hivi labda tulambe tindikali
 
Huku ni kucheka tu hakuna kununaa

Sikuiz nasoma napita kimya kimyakimya na kama niki koment basi ni mara chaaacheee......ilaa leooo nmecheka sanaa adi nmemsimulia na mwenzang jamann kachekaa adi basiii
 
Sikuiz nasoma napita kimya kimyakimya na kama niki koment basi ni mara chaaacheee......ilaa leooo nmecheka sanaa adi nmemsimulia na mwenzang jamann kachekaa adi basiii

Chekeni mwaya kununa ni hatari kwa afyaaa
 
Marafiki wa mjini hao ukigeuka ana bwanaako, tujifunzegeee

Hivi kumbe hao wadada shoga zake wema ni machangudoa wa India na China. Alafu eti wanachukua wasichana kutoka Tz na kuwauza then wawalipe hela flani ndipo wawaachie. Passport zao zinazuiwa. Insta kumechafuka ushahidi umewekwa
 
Hivi kumbe hao wadada shoga zake wema ni machangudoa wa India na China. Alafu eti wanachukua wasichana kutoka Tz na kuwauza then wawalipe hela flani ndipo wawaachie. Passport zao zinazuiwa. Insta kumechafuka ushahidi umewekwa

Ni shidaaa,ndege wafananao huruka pamoja nakuambia,wema awaige kina Nancy jamanii
Atajijua kwanza mfyuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…