Binamu wivu huo, ngoja mama ubaya arudi kutoka china mtakavyo rushwa roho, maana nimesikia anataka kufungua duka kubwa na litakuwa ndani shopping mall kubwa apa dar kama mlimani,kibp,quality center nk., so msubir maumivu ya moyo,andaeni ndimu kabisa mapema
Kwa kajala alienda kumkomoa Wema tu na kajala alishapewa kubwa ila ndo hivyo anabembelezea abakibaki. Kuhusu buzi nasikia ni siri watu wanahisi hisi tu, birthday M.10, Gari , first class China ndani ya mwezi kwa ubahili wa dai hata kwa bastola hatoi. kuhusu dai sasa hivi yeye ndo anaeteseka coz wema alishachoka vituko vyake ameamua kuwa busy kufanya yake japo si kwa kuachana. Dai kwa kifupi haijui hatima yake kwa madam. WiFi, mama MTU na Dai mwenyewe siku hizi ndo wanabembelezea kwa madam. We huoni wanavyopendeza siku hizi...yes hela walikuwa nayo na ni hela yao ila walikuwa hawajui wajipendezeshe vipi. Madam kawaspoil
Eeeeee makubwaa aiseeee,tusubiri maigizo tu sie,na duka umesikia kua anafungua Madam
Maskini dai mwaka wake huu looh
Eeeeee makubwaa aiseeee,tusubiri maigizo tu sie,na duka umesikia kua anafungua Madam
Wema washauri Hana alafu anaamini kila MTU anayemchekea
Muone mashavu magumu kama hipsi za Wema
Nimekumic binamu
Nmecheka kidogo nijikojoleeee hahahaaa uwiii
Tulambe ndimu mara ngapi...tushakuwa chronic na ndimu labda atuletee jik tunywe maana ukweli ni kwamba biashara hawezi ila ngoja tumvumilie
Wema washauri Hana alafu anaamini kila MTU anayemchekea
Huku ni kucheka tu hakuna kununaa
Tatizo ni mbishii...mama yake kashamwambia hana marafiki wa kweli..ndo kwanza anawakumbatia...
Sikuiz nasoma napita kimya kimyakimya na kama niki koment basi ni mara chaaacheee......ilaa leooo nmecheka sanaa adi nmemsimulia na mwenzang jamann kachekaa adi basiii
Marafiki wa mjini hao ukigeuka ana bwanaako, tujifunzegeee
Hivi kumbe hao wadada shoga zake wema ni machangudoa wa India na China. Alafu eti wanachukua wasichana kutoka Tz na kuwauza then wawalipe hela flani ndipo wawaachie. Passport zao zinazuiwa. Insta kumechafuka ushahidi umewekwa