Wema aonyesha jeuri ya pesa nchini China

Jamani wekeni channel 5 Daimond anacheza, shemeji huyoooo hhhhhaa mpenzi yupo China
Pesa nzuri jamani Dai kapendezaaa tusemage ukweli tu Kim nana
 
Last edited by a moderator:

Hapa naona hakuna chochote cha kumtuhumu wema.
Wewe kama umeshindwa kushughulikia mambo yako mwenyewe haya ya wema achana.nayo kwa sababu moja kati ya falsafa za kimaisha zinasema ukitaka ushindwe kusonga mbele fuatilia ya wengine.
 
Hawa waandishi nao wakati mwingine hata siwaelewi. Kusafiri VIP na kufikia hotel ya 5 Stars ndo kumefanywa habari?!
Haya bwana, kila mtu mtu na kazi yake.
Ova
 
tatizo la hawa wasanii wetu wanahisi muda wote wanaigiza,hatumuombei mabaya lakini siku wema anapata akili ya maisha ndio na hizo pesa zinakata,wakati huo hatamuona ata mmoja wakumuhonga tena km kweli anahongwa.
 
Ni shidaaaaaaaaaaaaaa

nimeona mahali walikwenda mwangalia zebra mwenzao macau.nadhani wametumwa wao ndo vijakazi.na wamekwenda sasa kwasababu upepo imepoa serikali imehamishia nguvu kwa ebola.ila wakirudi watatumwa tena kumtoa chidi.ila za mwizi 40 iko siku Titajua.watu wanaangamia wao wanafurahi
 

Jack atafurahiajee ila ni vizuri kama wameenda kumsalimia nae ajisikie vizurii jamanii
Mi natamani Wema akamatwe na madawa ya kulevyaa
 
Umbea tu kuandika mnajua vipicha vya insta wanavopost insta mbona vitawatoa roho!! Akipiga picha pembeni ya ikulu ya china mtakuja na thread mpya wema agawa papuch kwa rais wa naniliu! Hahahahaha chezea smarthphone na washamba!! Utalala mdomo waziiii
 
Umbea tu kuandika mnajua vipicha vya insta wanavopost insta mbona vitawatoa roho!! Akipiga picha pembeni ya ikulu ya china mtakuja na thread mpya wema agawa papuch kwa rais wa naniliu! Hahahahaha chezea smarthphone na washamba!! Utalala mdomo waziiii

Sawa wema wamekusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…