Wema Aonywa kuhusu Batuli, Batuli ni Mafia

Ujinga na uoga wako ndio unataka kuwaambukiza wengine. Eti mziki wa Batuli sh...... zako. Haya muambie alete huo mziki wake tuuone.
 
Reactions: bht
Analete majungu yake humu, eti insta, yeye akajibu snap nini sijui. Hao wengine wakileta thread za kijinga nikuwa barn tu.
 
Kwani Batuli ndiyo nani?? In Joti's voice
 
Duh uyo Batuli hata kwenye movie za kwenye bus za mkoani ambazo tunalaZishwa kuzitazama sijawahi kumuona kweli bongo movie wako wengi.
 
Hatutoi kiki kwa hiyo mnuka pichu kistuli . Wema mmoja kafanya wasanii njaaa wote kuharisha pumba. Na bado Wema atawatesa sana.
 
Na ni bingwa wa kufungua akaunti feki kutukana watu!
 
Wema atawajambisha wasanii uchwara woooote. Huyo batuli mwenyewe nasikia alipitiwa na makondakta
 
Akili za ukawa mmmh pileni sana lkn jitahidini huenda sk itakuwa kweli tofauti na sasa mlivyo na ndoto
 
Nina mashaka na akili yako warumi mada zako za kipuuzi puuzi na wanaozifatilia pia ni wapuuzi kama. Hizi mada zinazidi kutufanya masikini nchini! Ovyo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…