Mbona kutwa mnajazana kwenye threads zangu? Huwa nawaita? Aaah mimi ni kama maji nduguWarumi itakuwa ni mtu anatumia jina lake.zamani nikiona Warumi ana Ubuyu unajua Leo raha.Ila huyu amekuwa mnafiki mbea na umbea wenyewe haujui basis ni tabu
Kama nakuchefua unafuatilia thread zangu za nin? Huwa mnaitwa? Ebu niacheni, mimi ni kama maji usipooga lazima unywe, kama hamtaki umbea kwendeni huko sio lazima kuchangia thread ZhanguWarumi huna tofauti na Mange kimambi unayemponda, umekua ni mbea mbeaa, mshakunaku balaa yaani kifupi unachefua sana ptuuu
Kama hutaki tusome muhadisie mumeo chumbani sio kuleta hapaMbona kutwa mnajazana kwenye threads zangu? Huwa nawaita? Aaah mimi ni kama maji ndugu
MOJA YA U SMART NA UMAFIA WA BATULI KWA MUJIBU WA WARUMI [emoji23] [emoji23]Msanii maarufu wa bongo movie, Wema Sepetu, Ameonywa kukaa mbali na msanii mwenzie Yobnesh Yusuph Maarufu kama Batuli, kwani mwanamke huyo ni moto wa kuotea mbali,unaambiwa bongo movie nzima wanalijua timbwili la batuli.
Mnajua kwa nini wema kakimbilia kumpost Batuli instagram baada ya batuli kumlipua wema? Unaambiwa wema anaujua vizuri mziki wa Batuli, hivyo alienda insta kujikosha kuwa walipendana na Batuli, hata hivyo kwa kuwa Batuli sio mpenda kiki amekana vikali wema kusema anampenda na badala yake kasema yeye ndo alikua anampenda wema na hataki unafiki.
Inasemekana Batuli ni mtu asiyependa makuu na sio muongeaji sana ila linapotokea ukamchefua basi vita yake sio ya nchi hii, pia batuli ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani na huwa hakurupuki hivyo hujipanga vizuri kumshambulia adui yake, hivyo wema sepetu ameonywa vikali kukaa mbali na mwanamke huyo, kwani atamuaibisha na kumvua nguo.
Aaaaah mama ubaya kapatikana, umeingia choo cha kike mwaka huu, ulizoea kuwaonea akina Aunty Ezekiel eeh wanakubebea mpaka mapochi.
Jamani mkitaka kujua timbwili la Batuli muulizeni muheshimiwa naniliuuu, unaambiwa batuli alimfuata huyo muheshimiwa mpaka kwa mke wake na kuanzisha timbwili la mwaka, aaaah huyo muheshiwa simtaji ng'ooooo!
[emoji23] [emoji23] wewe si mavi usipohara utajikwinya....kwiyooooKama nakuchefua unafuatilia thread zangu za nin? Huwa mnaitwa? Ebu niacheni, mimi ni kama maji usipooga lazima unywe, kama hamtaki umbea kwendeni huko sio lazima kuchangia thread Zhangu
Mkuu mi mpaka nataka niulize huyu ni jinsia ganiWarumi siku hizi imekuwa wa ovyo hadi unalinajisi jina lako, umekuwa mbea mbea hadi unakifu.
Kama wewe ni jeshi na Mange tutamuitaje? Hahahaha usipende kujipa sifa ambazo huna mdogo wangu, umejificha kwenye kichaka cha Jina feki kama nduguyo Daudi alafu unajiita jeshi la mtu mmoja..!! Tanzania maajabu hayatoishaLeo nanyooosha mmoja mmoja mpaka mnyooke pambafu zenu, mimi ndo jeshi la mtu mmoja
Nilimla batuli kwa $100 kwenye gari..saaa huyu anayesema sio changu sijui hawajui hawa bongolalaWarumiiiiiiiii,Batuli sio changu?
Acha masikhara bhana.
Wote ni machangu,sema Wema yupo open tofauti na Batuli.
BTW Wema ni star,Batuli anamjua nani?
Vita ya insta unaipeleka snapchat....Alimpost kwenye install, batuli akajibu snapchat
Batuli ameona atokee kwa WemaWarumiiiiiiiii,Batuli sio changu?
Acha masikhara bhana.
Wote ni machangu,sema Wema yupo open tofauti na Batuli.
BTW Wema ni star,Batuli anamjua nani?
Umeona ubuyu wa instaNa irene kamlipua Batuli,johari nae kaandika yake
Ila movie tamu ahahahahha,,eti wema kitabu chake hakina jalada jeupe hata moja
Ahhahahahahah nimeona nimechekaa kweliijUmeona ubuyu wa insta
Batuli ameliwa na yule alozungusha
Kwanza batuli ameact movie gani????Batuli mchafu mnoooooo,watu hawayajui yake maana sio maarufu.
Wema ni maarufu jamani,hata afiche vipi yanajulikana.
Who the hell is Batuli?