Wema Aonywa kuhusu Batuli, Batuli ni Mafia

Wema Aonywa kuhusu Batuli, Batuli ni Mafia

Warumi itakuwa ni mtu anatumia jina lake.zamani nikiona Warumi ana Ubuyu unajua Leo raha.Ila huyu amekuwa mnafiki mbea na umbea wenyewe haujui basis ni tabu
Mbona kutwa mnajazana kwenye threads zangu? Huwa nawaita? Aaah mimi ni kama maji ndugu
 
Warumi huna tofauti na Mange kimambi unayemponda, umekua ni mbea mbeaa, mshakunaku balaa yaani kifupi unachefua sana ptuuu
Kama nakuchefua unafuatilia thread zangu za nin? Huwa mnaitwa? Ebu niacheni, mimi ni kama maji usipooga lazima unywe, kama hamtaki umbea kwendeni huko sio lazima kuchangia thread Zhangu
 
Leo nanyooosha mmoja mmoja mpaka mnyooke pambafu zenu, mimi ndo jeshi la mtu mmoja
 
Msanii maarufu wa bongo movie, Wema Sepetu, Ameonywa kukaa mbali na msanii mwenzie Yobnesh Yusuph Maarufu kama Batuli, kwani mwanamke huyo ni moto wa kuotea mbali,unaambiwa bongo movie nzima wanalijua timbwili la batuli.

Mnajua kwa nini wema kakimbilia kumpost Batuli instagram baada ya batuli kumlipua wema? Unaambiwa wema anaujua vizuri mziki wa Batuli, hivyo alienda insta kujikosha kuwa walipendana na Batuli, hata hivyo kwa kuwa Batuli sio mpenda kiki amekana vikali wema kusema anampenda na badala yake kasema yeye ndo alikua anampenda wema na hataki unafiki.

Inasemekana Batuli ni mtu asiyependa makuu na sio muongeaji sana ila linapotokea ukamchefua basi vita yake sio ya nchi hii, pia batuli ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani na huwa hakurupuki hivyo hujipanga vizuri kumshambulia adui yake, hivyo wema sepetu ameonywa vikali kukaa mbali na mwanamke huyo, kwani atamuaibisha na kumvua nguo.

Aaaaah mama ubaya kapatikana, umeingia choo cha kike mwaka huu, ulizoea kuwaonea akina Aunty Ezekiel eeh wanakubebea mpaka mapochi.

Jamani mkitaka kujua timbwili la Batuli muulizeni muheshimiwa naniliuuu, unaambiwa batuli alimfuata huyo muheshimiwa mpaka kwa mke wake na kuanzisha timbwili la mwaka, aaaah huyo muheshiwa simtaji ng'ooooo!
7c4166ffaac3ab40871d0290bf47bc5a.jpg
MOJA YA U SMART NA UMAFIA WA BATULI KWA MUJIBU WA WARUMI [emoji23] [emoji23]
fc6b3c6af50f6e8f85d3a154a116b4ac.jpg
 
Kama nakuchefua unafuatilia thread zangu za nin? Huwa mnaitwa? Ebu niacheni, mimi ni kama maji usipooga lazima unywe, kama hamtaki umbea kwendeni huko sio lazima kuchangia thread Zhangu
[emoji23] [emoji23] wewe si mavi usipohara utajikwinya....kwiyoooo
 
hapa JF kungekuwa na block wallah mtu wa kwanza kumblock ungekuwa ni wewe warumi
tatizo sio kuleta hizo habari tatizo jinsi unavyozileta unaonekana kabisa kuna mtu/watu fulani unawachukia why?? ok kuwachukia sio labda una sababu zako binafsi ila kwanini ulazimishe watu tujue kama upo hivyo kumbuka kuwa wao pia ni binadam kama wewe wanakosea kama wewe...hao ni public figure kwanini uwachafue kwa chuki zako binafsi
sio lazima kunijibu
 
Jaman hizo isue za insta huku za nn ? JF ni great thinker
 
Leo nanyooosha mmoja mmoja mpaka mnyooke pambafu zenu, mimi ndo jeshi la mtu mmoja
Kama wewe ni jeshi na Mange tutamuitaje? Hahahaha usipende kujipa sifa ambazo huna mdogo wangu, umejificha kwenye kichaka cha Jina feki kama nduguyo Daudi alafu unajiita jeshi la mtu mmoja..!! Tanzania maajabu hayatoisha
 
Warumiiiiiiiii,Batuli sio changu?
Acha masikhara bhana.

Wote ni machangu,sema Wema yupo open tofauti na Batuli.
BTW Wema ni star,Batuli anamjua nani?
Nilimla batuli kwa $100 kwenye gari..saaa huyu anayesema sio changu sijui hawajui hawa bongolala
 
Warumiiiiiiiii,Batuli sio changu?
Acha masikhara bhana.

Wote ni machangu,sema Wema yupo open tofauti na Batuli.
BTW Wema ni star,Batuli anamjua nani?
Batuli ameona atokee kwa Wema

Kiki ngumu siju hizi mjini
 
Back
Top Bottom