Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
ndio ujue mama wema ni msanii kama wasanii wengine.
Bado apewe script tu aende location
hahaa aende tu location kipaji anacho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio ujue mama wema ni msanii kama wasanii wengine.
Bado apewe script tu aende location
Dinazarde andaa kicheko kabisaa natafuta kalamu na kartasi nkuandikie vituko vya barua ya mmasaiMbona barua imeandikwa kiarabu,,halaf ina masai alitembea na mpiga picha au wema ndo alikua mpiga pichaa
herufi za kiarabu lakini kwa kiswahili, .....
Barua inasomeka kama hivi....
Salamu nyingi sana,ama baada ya salamu napenda kujua hali zenu sisi hali zetu alhamdulillah..
Madhumuni ya barua hii kuleta posa ya binti yenu wema bint abraham sepetu kujuwa mahari yake..
Mimi kijana wenu daudi nyembo bin ayoub
Wabillah taufiq
Assalam allaykum warahmatullah wabarakat
Maa salam....
Cc Dinazarde
Unajua ndio nimerudia kusoma, kumbe ni herufi tu za kiarabu lakini ni ukisoma ni kiswahili hapana aisee hata kabanga sikymuelewaaa hii kalii,ndo utaratibu au!!!!!
Hahahaha labda hajui kuandika kwa kiswahili
Hhhhhhhhaaaaa loo katuweza masaii
Itakua kaandika kwa kiarabu maksudi hataki umbea lol watu watafkiri maua maua tu ya hina lol
yaani binamu farkhina huyu mmasai nyembo anabalaa...