Wema atoa offer ya Mil. 2 kwa atakayempata mbwa wake...

Wema atoa offer ya Mil. 2 kwa atakayempata mbwa wake...

 
Hela Yao wanapata kwa mambo mengi,wengi wao wamefaya sana kazi ya kuwa PUNDA!! Shoga yake Wema ALLU si kakamatwa na wanaume zake wauza NGADA!!!
huyo allu kumbe ni rafk yake.the same pia kwa masogange
 
Pia ma sponsor...hao bongo muvi wanatembea na vibopa wenye pesa zao..infact wanajiuza ki dot com..na hotel yao pendwa ni pale regency mikochen..nishawakuta sanaaa pale kina tunda gigy na takataka zingne..kibopa anaweza mkodia chumba pale dola 60 dem anakaa pale mwez mzima ye kibopa kaz yake kuja na kuondoka..ndomana mnaona kina tunda alikua mapicha meng sana hotelin..ogopa sana..na weng wame ungua
wataje hata watatu
 
.
IMG_20210314_121921.jpg
 
Pia ma sponsor...hao bongo muvi wanatembea na vibopa wenye pesa zao..infact wanajiuza ki dot com..na hotel yao pendwa ni pale regency mikochen..nishawakuta sanaaa pale kina tunda gigy na takataka zingne..kibopa anaweza mkodia chumba pale dola 60 dem anakaa pale mwez mzima ye kibopa kaz yake kuja na kuondoka..ndomana mnaona kina tunda alikua mapicha meng sana hotelin..ogopa sana..na weng wame ungua
Tunda na Wema wamebadilika hawana nuru kabisa
 
Tunda na Wema wamebadilika hawana nuru kabisa
Ukiskia gusa unase ndo pale sasa .ray c kakimbilia ulaya...niliwai meet na ray c pale tht aisee....alikua kakonda vibaya mno..alikua na meeting na ruge halaf mi ndo nilikua nmetoka kwa ruge pia nilikua na meeting nae..ila alikua mweupe sanaaa..yaan had mishipa ya damu unaiona.dah
 
Ukiskia gusa unase ndo pale sasa .ray c kakimbilia ulaya...niliwai meet na ray c pale tht aisee....alikua kakonda vibaya mno..alikua na meeting na ruge halaf mi ndo nilikua nmetoka kwa ruge pia nilikua na meeting nae..ila alikua mweupe sanaaa..yaan had mishipa ya damu unaiona.dah
Sasa hivi si ray c kanenepeana balaa, anaishi boko kwa maza ake...

Ila mbona kila demu msanii kapita kwa Ruge?
 
Back
Top Bottom