Wema atoa offer ya Mil. 2 kwa atakayempata mbwa wake...

Means manunu hajafika value ya 2m mpk mtu anatoa 2m means

vanilla ana range kwenye how much wazee wa B.O.T? na kama ni hyo amount

yanini shida yote hiyooo wakati home nina kina strawberry nawauza kwa 500k tu mmoja...

nadhani vanilla ana special mafunzo,maana tukimnunua vanilla mwingine mpk aelewe somo sio leo
 
Wangeanza kumtafuta "WEMA MBWA" kisha ndio wamtafute MBWA WA WEMA.

Ila nasikia kwamba wadada wanapenda mbwa kwasababu ya kupigwa BJ.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumetofautiana Maisha hivyo vimbwa ukiachana na hiyo hela aliyoitaja ya zawadi bado bei ya kuvinunua imesimama sana vina gharama.
Ndumilakuwili una uhakika ujahusika na hili tukio? Maana tunakujua mambo yako.
 
Tukiachana na kumpopoa madam spenjo.

Value ya Pets ni kubwa kwa muhusika kutokana muhusika kashamzoea kama Pet kama huyo anathamani ya 2M sokoni mtu akimnunua na kuishi nae baadae anaweza kutoa 5M ili ampate akipotea.
 
Kama jasiri alikuwa kweli kwenye gridi na alikuwa anagegeda pekupeku basi list ya wanawake wa bongo fleva walioungwa itakuwa sio hapa?

Na yule aliyemzalia watoto wawili vipi?
Aaagh mkuu....yaan kila demu msanii utasikia Ruge this Ruge that....huwa mpaka nasema labda huyu kama alimuonea huruma!

Halafu walikuwa wanajirahisisha mnooo, mbaba wa watu akuu[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…